Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Watu wasiojulikana mbona huwa wanajulikana ila huwa hawatakiwi wajulikane, kikikikiKi vipi yani
Utumike upupu ili wawataje walio watuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wasiojulikana mbona huwa wanajulikana ila huwa hawatakiwi wajulikane, kikikikiKi vipi yani
Upupu tukwiishema ubhangu, gunaanyenya atalii🤣1. Mafuta ya kula :
Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.
Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.
2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.
Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.
Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.
3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.
Weka na wewe orodha zako
Zote hizi ni hadi aje asipokuja je.Kaka maji ya upupu yanamzuia vizuri sana
Ngoja nipate maujuziKila nikisoma maneno matatu narudi juu kuangalia ID yako, kuna muda nilidhani niko usingizini naota lakini nikagundua kuwa siko usingizini.
Anyway Monetary doctor realMamy Demi njooni mkashuhudie vituko uswahilini.
Ndogo sanaa..Bei juu au?
Ngoja ni save kwanza nitapitia BaadayeWeka na wewe orodha zako
Ipo ya laki 6 ni Chinese version ya kitamboNdogo sanaa..
Asipokuja si ndio vizuriZote hizi ni hadi aje asipokuja je.
Fafanua mkuuU
Upupu tukwiishema ubhangu, gunaanyenya atalii🤣
Ahaa hapo sawaWatu wasiojulikana mbona huwa wanajulikana ila huwa hawatakiwi wajulikane, kikikiki
Utumike upupu ili wawataje walio watuma
Lini unakuja mwizi anakujaAsipokuja si ndio vizuri
Sijui huo muda wakuchemsha mafuta unatokea wapi ? Kwa moto gani ? Kwa Kuni zipi au gas ,?Kila nikisoma maneno matatu narudi juu kuangalia ID yako, kuna muda nilidhani niko usingizini naota lakini nikagundua kuwa siko usingizini.
Anyway Monetary doctor realMamy Demi njooni mkashuhudie vituko uswahilini.
Gas.Sijui huo muda wakuchemsha mafuta unatokea wapi ? Kwa moto gani ? Kwa Kuni zipi au gas ,?
InafikirishaSijui huo muda wakuchemsha mafuta unatokea wapi ? Kwa moto gani ? Kwa Kuni zipi au gas ,?