Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

U
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Upupu tukwiishema ubhangu, gunaanyenya atalii🤣
 
Ukute wenyewe wana Mguu wa kuku
Sijui kama huo upupu utauona zaidi ya kuingia kwenye uvungu wa meza na ukaenea
 
Kwa unafuu wa gharama,maji ya moto pia yafaa,yalohifadhiwa kwenye chupa ya chai..,ukimwagia hata kifuani au mgongoni yatosha sana.
 
IMG_8773.jpeg
 
Vituko 😅😅
Hiyo gharama ya kuchemsha mafuta ya kula lita3 kila siku usiku kwa mwaka ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom