Watanzania wamewakataa...Sijui kwanini?Namba Tano na namba SITA wanaangushiwa tu jumba bovu. Walikuwa hali ni taabani kwenye hizo sekta. Ukweli ndo huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wamewakataa...Sijui kwanini?Namba Tano na namba SITA wanaangushiwa tu jumba bovu. Walikuwa hali ni taabani kwenye hizo sekta. Ukweli ndo huo
Incompetence inaanzia na jinsi wanavyopatikana...Huwezi kuwa huru kama wewe unaishi ili umridhishe aliyekuteua badala ya wale unaotakiwa kuwatumikia, i.e public....Nchi hii tukitaka competence tuondoe uteuzi ibakie kupata promotion kwa credentials (hii inahusu Katiba)...Wengi waliokuwa promoted kasoro wale wa zamani ambao kweli walichujwa, walipata promotion kwa nepotism au kwakua sycophants so unategemea hata yeye atatafuta wenye credentials? Wanalinda siyo tu nafasi, bali hata incompetences zao ndiyo sababu hawataki kutengeneza competent teams, maana ita wa benchmark na wao wataonekana wazi walipwaya...incompetency ni pamoja na kufanya kazi na watu incompetent, competence inapimwa na mafanikio, sasa mafanikio utayapataje wakati wanaokuzunguka wengi ni vilaza.
Njia pekee ya wale woote wanaojiona ni competent na wako serikali au mashirika ya umma kujinasua na wao kuonekana vilaza ni kukaa nje ya mfumo au kupambana na kuuondoa mfumo uliooza na kuujenga mfumo imara kwa haraka.
Nasikia hata alipokuwa Tanga mkuu wa wilaya; yeye ni mtu wa dili tuMkuu wa mkoa hajui kuwa kituo cha afya hakina barabara? Hadi katibu mkuu aje akutane na zali?
RAs mkoa wa iringa hajui kituo hana Daktari?
DED Mafinga hajui kituo hakina Daktari?
DMO Iringa amekufa au ni mtoro? Hajui kituo hakina Daktari?
Ccm ni janga kwa Kweli
Je urambo hyu mpya ni kiaziMkuu wa mkoa wa Tabora + DC wa Nzega = ??????
TZ Me akivaa sketi unapata uteuzi!Nasikia hata alipokuwa Tanga mkuu wa wilaya; yeye ni mtu wa dili tu
# 30 amewekwa hapo kuna siku utasikia Ngorongoro imepata mwekezajiNamba 22 na namba 30 wako vzr tena nanba 30 anaipeleka vzr wizara kuliko waliopita.
Kwa samia hao ni vipangaKaribuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.
1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD [emoji23]
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31. Nape Moses Mnauye
32.Ongezea hapo na Wewe ——-
WeweKaribuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.
1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD [emoji23]
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31. Nape Moses Mnauye
32.Ongezea hapo na Wewe ——-
CCM haiwezi toa kiongozi mzuri hata iweje. kwa sababu malengo yake sio mazuriKaribuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.
1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD 😂
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31. Nape Moses Mnauye
32.Ongezea hapo na Wewe ——-
Utakumbuka kuwa Jiwe aliwaondoa hawa lakini Kikwete akawarudisha na matokeo yake ndio hayo!!! Asha -Rose pale London amekaa vya kutosha mrudisheni nyumbani kwani umri nao umekwenda!!Hapo Namba moja umepatia kabisa! huyu Halima Dendego ni Zero kabisa. Uwezo wake wa kiuongozi ni Mdogo sana kuchwa kutwa ni kutengeneza madili yake ambayo hayazingatii Procurement na Financial controls hivyo kuwapa wakati mgumu watendaji kwani yatakuwa chanzo Cha hoja za ukaguzi.Sishangai kumbe ndo maana mwendazake alimpiga chini u- RC huyu mama alipokuwa RC Mtwara
Hata Wewe ukivaa gauni JK akikuona unapangiwa London ubaloziUtakumbuka kuwa Jiwe aliwaondoa hawa lakini Kikwete akawarudisha na matokeo yake ndio hayo!!! Asha -Rose pale London amekaa vya kutosha mrudisheni nyumbani kwani umri nao umekwenda!!
Una maana gani? Kwavile kama unavyosema yeye ni dhaifu hivyo wateule wake ni dhaifu kama yeye?Mwenye uwezo mdogo ni samia
Kwanini una tabia ya Kuuliza majibu?Una maana gani? Kwavile kama unavyosema yeye ni dhaifu hivyo wateule wake ni dhaifu kama yeye?
Nauliza majibu ili kuyahakiki.Kwanini una tabia ya Kuuliza majibu?
Haya bhana. Tumepigwa na kitu kizito brotherNauliza majibu ili kuyahakiki.