G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Tulia. Acha Mrema akapambane kiume maana kule Segerea kunahitajika msuli. Lambert anapikwa kimkakata. A aandaliwa kimfumo kama kina Upendo Peneza na Halima Mdee! Chadema haiwezi kufanya mistake kwa maslahi ya fulani bali inajipanga kimfumo.Yaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?