Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Atachukua viti maalumu.Kwa Segerea chadema hamjatenda haki....yule dada anapambana sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atachukua viti maalumu.Kwa Segerea chadema hamjatenda haki....yule dada anapambana sana aisee
Kwa Segerea chadema hamjatenda haki....yule dada anapambana sana aisee
Hapo sawa sababu kuna majimbo hayapo na mkutano ulisema kila jimbo au ndio hayo ya kuwaachia act ila kibamba si yuko mnyikaJamaa unazingua kwamba tumeshindwa kuweka wagombea, kwanza hauoni majimbo ambayo bado ni majimbo ambayo hatuwezi kukosa wagombea, mfano tu ni jimbo la nyalandu bado, jimbo la lissu, jimbo la Mnyika, kigamboni, mbagala, kinondoni, kilombelo hayo ni baadhi tu ya majimbo ambayo bado, bado majimbo 51 kwa tz bara ambayo yatatangazwa awamu ya pili, safari hii hatuachi kitu, si kata wala jimbo
Yaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?
Unatakiwa uishi karibu na hospital ya mirembe.usiku mwemaJina labadilike liwe" Chama Cha Dikteta na Umasikini, CHADIMA
Mimi nalitafuta Jimbo la kigoma kusini
Unatakiwa uishi karibu na hospital ya mirembe.usiku mwema
Ahahahahahaha! Eti awamu ya kwanza. Au mnasubiria watakaokatwa CCM.Hii orodha inasambaa kwa kasi ya mwanga mitandaoni!
Positives: kuona wabunge karibu wote wa viti maalum kujitosa majimboni sio wale wa CCM ambao wengine mwaka wa 15 sasa ni viti maalum tu!!
anakubalika? anafahamika? msifanye mambo kwa ushabki!
John mrema yule wa makao mskuu .mtunza Siri za mbowe la ima apate mbelekoYaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?
Lazima ajiongeze sio kupambans na mikono mitupuHalafu kutwa kuwananga CCM hawana demokrasia...yule AGNESTA LAMBERT anapambana sana kuanzia chadema ni msingi mikoa ya kilimanjaro na singida.....kwa tetesi hata 2015 alishinda ubunge wa viti maalumu sema kamati ikafanya yake