Babu la Bara
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 529
- 575
Angekuwa anataka viti maalum asinge gombea level hiyo. ni upumbavu kutetea ujinga na uhuni huu. Na aliyeshinda viti maalum naye atapewa nini?John Mrema amepewa Segerea ni vizuri, naamini huyo mdada atapewa viti maalum, wacha Mrema akapambane na CCM.
so kumbe wanapeana na sio kuchaguliwa?