sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Tulia hawamu ya pili inakujaIla kuna wakati CHADEMA nao wanazingua sana yaani hata Shinyanga mjini hawajaweka wakati Sisi tunajua aliyeongoza kura za maoni ni Mhe. Makamba. Wakituletea Katambi wakati alishaunga juhudi tunayapa ma-CCM tena! Wasituone sisi wajumbe ni Umbwa!!