mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Tena watakata wengi tuu kwa SABABU sio Kama CDM Dada Kama huyu mpambanaji anae kubalika na wengi mnamuangusha Bila sababu, harafu mnaimba mtaiangusha CCMHata huko ccm wapo walioshinda kura za maoni lkn watatemwa
Kwanza usinichoshe siku nyingine usiwe unafaanisha CHAMA na UKOO WA WATU