Uchaguzi 2020 Orodha ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA Tanzania Bara Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Orodha ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA Tanzania Bara Oktoba 2020

Positives: kuona wabunge karibu wote wa viti maalum kujitosa majimboni sio wale wa CCM ambao wengine mwaka wa 15 sasa ni viti maalum tu!!

Nimesikitika kutomuona Mwambigija wa Mbeya, Nusrat kwa kigamboni, na Mnyika kutochukua fomu kabisa!! Kiukweli nitammiss bungeni alikua mjenga hoja mzuri sana.
Mnyika Yule wa awamu ya kwanza,hii awamu iliyopita sijui alipatwa na nini
 
Mnyika Yule wa awamu ya kwanza,hii awamu iliyopita sijui alipatwa na nini
*Alikua mgonjwa wa figo

*Then alikua ameumia kunyimwa ukatibu mkuu

*kuondoka kwa mentor wake Dr Slaa pia kulimfadhaisha kidogo.

Ila licha ya yote naona bado ana mchango bungeni hasa kwenye kuchambua miswada
 
Huyu dada anaandaliwa kama kina Upendo Peneza na Catherine Ruge. Kumpa jimbo kabla hajaonekana kitaifa siyo sawa! Tulizana.
Mkuu anaandaliwa vipi? Maana umetaja hapo chakula ya wakubwa
 
Halafu kutwa kuwananga CCM hawana demokrasia...yule AGNESTA LAMBERT anapambana sana kuanzia chadema ni msingi mikoa ya kilimanjaro na singida.....kwa tetesi hata 2015 alishinda ubunge wa viti maalumu sema kamati ikafanya yake
Je kama ni implant kutoka ccm?? Tumieni akili nyie vijana. Usione mtu anajipambanisha kumbe yuko kazini
 
devota ilitakiwa akagombee sehem nyingine ila kwa hapa mjin kwa kwel hawez kupambana na aliyekuwa boss wake kipindi anafanya kwaz Abood media, mana Abood alikuwa boss wake
 
Kibamba mnatuletea nani? Kama vipi mnyika badilisha gia angani
 
Msalala kwa alieyekuwa mbuge Ezekiel Maige mmepaacha wazi?
 
Pongezi CDM Wagombea wenu wamepatikana bila RUSHWA. Chama tawala ondoeni wala rushwa wekeni majina ya wagombea Safi hapa.tukikutana na Akina ole sendeka,sajini,muhongo,gambo,sashisha, Ibrahim 6, priscus kimaryo,Dr mathayo David,Kimei, Adolf mkenda, shabby, Abood, kurwa biteko,nyeti ,akso tulia na wengine ,haya majina na wengine waondoeni kukusaidia chama na serikali ya awamu ya tano.
Orodha kutoka 82 hadi 112 Mimi siioni. Au macho yangu tu. Nisaidieni wadau.
 
Back
Top Bottom