MANCNOO
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 463
- 1,198
Huyu anasubiri ukuu wa mkoaAliyekuwa DC Shinyanga mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anasubiri ukuu wa mkoaAliyekuwa DC Shinyanga mjini
Inshalah na iwe kheri kwakeHuyu anasubiri ukuu wa mkoa
Wasaliti walikula yamini na ccm hawaachwi , Mashinji bado yupo .1. Basils Mwanukuzi
2. Jerry Muro
3. Vicent Mashinji
4. Abbas Kayanda
5. Mathayo Masele
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Mngesema kablaJerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
Yaani aliwasema kama watoto wadogo tena mbele ya kamera.
Jokate ni kama atatemwa round ijayo. Kapelekwa huko mbali waone kama atakaaBasila alikuwa Korogwe,sasa Korogwe kapelekwa Jocate.
Kule alipokuwepo lazima uwe malaya tu, hata ingekuwa mimiJerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Jerry Muro[emoji23] furushi wamelitua1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
Connection kakaHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Luka vipi umeshindaje mwana ccm mwenzangu?[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwamba wakuu wa wilaya wote malayaa?Kule alipokuwepo lazima uwe malaya tu, hata ingekuwa mimi
Nimeshinda salama kabisa mkuuLuka vipi umeshindaje mwana ccm mwenzangu?
Huyo wa Kwanza sawa Tu maana alikuwa analinga SANA1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro...