Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5) Pololeti Mgema1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
Mathayo Masele1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
Mie nina wivu wa nini bro. Ama ume quote post yngukimakosa kwa kutoju matumizi ya jukwaa! Nilikuwa namfafanulia aliyetaka kujua huyo DC alipo. By the way dona ni chakula pendwa sana. PoleMuna wivu sana mtaaendelea kushiba dona hivyo hivyo acheni wivu
Korogwe hapo mbali mkuuJokate ni kama atatemwa round ijayo. Kapelekwa huko mbali waone kama atakaa
Jerry Muro na makonda hawana tofauti. Yeye na gambo na wadudu wengine walipaswa kufuatana na Lengai gerezani.1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
Ila hii nchi bana utaratibu wa kupata viongozi ni wa hovyo sana, kipindi flani nikiwa Mzumbe University- Morogoro tukaletewa mgeni rasmi mmoja hivi mdada ilikua ni siku ya 'ujasiriamali' pale chuoni. Mgeni rasmi alikua ni mkuu wa wilaya ya Mvomero ee bana yule mkuu wa wilaya sijui aliokotwa wapi akapachikwa kwenye hicho cheo. Uchangiaji wa kale kadem ilikua ni aibu kumsikiliza yani tangu siku hiyo sina imani na mwana ccm yeyote hata huyo mnamuita mama.
Hakuna kitu kama hicho! Hao hapo juu pamoja na kwamba hawajatajwa wametenguliwa kiaina! Ulishaona wapi kwenye wilaya yako wanaletwa mtu halafu wewe hujatajwa utasema unaendelea na kazi?Ambao hawajatajwa wanabakia kwenye nafasi zao
Mbona hamkusema ama kutoa vielelezo tanguu alipoonekanaa ku.....Hadi Leo ndo mwanong'onaaaYani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Bahi kapelekwa gondweMwaipaya amepelekwa Bahi
Nilishangaa alivopewa hii nafasi. Aliwahi kukurupuka na lihabari mtandaoni kwamba Trump kamsifia Jiwe, Tbc wakampa adhabu. Kuanzia siku ipe nilitilia shaka umakini wake4)Gabriel Zachariah
Yumo na yule mtangazaji muongo wa TBC , sijui Zakaria nani , naye kala mwereka
Jokate ni kama atatemwa round ijayo. Kapelekwa huko mbali waone kama atakaa
1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe...
Mtu anatumia viungo vyake sisi wa nini?Jerry nae alizidi umalaya sana
Mbona hamkusema ama kutoa vielelezo tanguu alipoonekanaa ku.....Hadi Leo ndo mwanong'onaaa
Hata mimi huwa sielewi, labda ni connection tu hlf kichwani hamnaga kituHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Hizo ni ishu zao za kimpira
Ila nachojua Jerry hapitwi na paja
🤣🤣🤣🤣🤣Basi atakuwa na msumari mkali sana, na utakuwa umepinda kama NDIZI