Geofre Maseta
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 881
- 1,632
Bahi kapelekwa GondweMwaipaya amepelekwa Bahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahi kapelekwa GondweMwaipaya amepelekwa Bahi
Heko na hapa umemaliza kila Kitu Mkuu.GENTAMYCIME
Nakazia
Chuki zao Binafsi dhidi yangu na Mimi kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hivi
Funza waliojazana Ubongoni mwako wamekuharibu Akili ndiyo maana umekuwa Mwehu hivyo.Game changer and Id changer. Ila wewe jamaa ugonjwa ulio nao alie kuroga sio wa nchi hii..YANI kabisa una panick kwa majibizano with fake ids? Are I sure ur not sick? Mkuu hospitali zipo
Zainab Rashid Mfaume Kawawa alikuwa Kilwa,Dustan Kiobya
Wote wakristo1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
Wacha maneno haya...ovyo sana. #SISI NI TAIFA.🙏🙏🙏Wote wakristo
Huyu alikuwa Mtwara nafikiri kaenda Kilombero km sijakosea.Dustan Kiobya
Jitahidi uwaambie waufute pia na Ujinga wako uliokujaa Kichwani mwako sawa?Uzi wako wa udini umefuuutwaaa🤣🤣🤣🤣
Bado MnyetiUkiona unasemwa saana jua hupendwi,kwa hili nimegundua muro ana maadui wengi mno kama ilivyokuwa kwa ali hapy,alipopigwa chini wengi sana walifurahi.
La kuku au la?Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Alikulala au?Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
7. Abbas Kayanda .. moshi1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
Jokate je??? Wapo vilaza wengi tu, ni vile nchi imekosa muelekeo hii. Watu wa hovyo hovyo ndio wapo kwenye kazi za maana za kuleta maendeleo ya nchi. Kujuana sana na siasa kwa kwenda mbele. Nchi ngumu sana hii.
Bahi ameenda Godwin Gondwe aliyekuwa KinondoniMwaipaya amepelekwa Bahi
Gondwe ndiyo amepelekwa Bahi
Kumbeee?