KituHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KituHivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Urembo mkuu!!!Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Mwaipaya amepelekwa BahiKama yapo naombeni Radhi na Kwao pia kwani huenda niliupitia tu Mkeka kwa haraka haraka.
Naomba kujua aliyekuwa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya na aliyekuwa DC wa Ikungi Jerry Muro wamehamishiwa Wilaya gani?
Nitawashukuruni.
🤣🤣🤣🤣🤣Dada ulisoma chuo flani nini🤣🤣🤣🤣🤣 pale mitaa ya kati maana inaonyesha unamfahamu vizuri braza jei🤣🤣🤣🤣 na range lake lile🤣🤣🤣🤣Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Afadhali vipi kwa Jerry Muro?Mwaipaya amepelekwa Bahi
Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Kahamishiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Yanga SC GSM na anaanza rasmi Majukumu yake.Jerry Murro.
Thubutu.Wanadai eti bado yupo
Chali miguu juu , aliyepelekwa Bahi ni GondweAfadhali vipi kwa Jerry Muro?
Kama yapo naombeni Radhi na Kwao pia kwani huenda niliupitia tu Mkeka kwa haraka haraka.
Naomba kujua aliyekuwa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya na aliyekuwa DC wa Ikungi Jerry Muro wamehamishiwa Wilaya gani?
Nitawashukuruni.
Mkoa aliooekwa singida unaijua weweJerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Tayari nae Jua limeshakuwa Kali Kwake.Naomba kujua kuhusu Peter Lijua Likali
Mh Abdalah Mwaipaya amebakia Wilaya ya Mwanga na Mh Jerry Muro ameondolewa.Kama yapo naombeni Radhi na Kwao pia kwani huenda niliupitia tu Mkeka kwa haraka haraka.
Naomba kujua aliyekuwa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya na aliyekuwa DC wa Ikungi Jerry Muro wamehamishiwa Wilaya gani?
Nitawashukuruni.