Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tatizo lake ni uchawa lakini kazi anachapaHuyo wa no. 2 kiazi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lake ni uchawa lakini kazi anachapaHuyo wa no. 2 kiazi kabisa
Mbona Watu wanadai Wote wapo Mkekani Mkuu?
Mwaipaya yuko hapo hapo MwangaKama yapo naombeni Radhi na Kwao pia kwani huenda niliupitia tu Mkeka kwa haraka haraka.
Naomba kujua aliyekuwa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya na aliyekuwa DC wa Ikungi Jerry Muro wamehamishiwa Wilaya gani?
Nitawashukuruni.
Yumo na yule mtangazaji muongo wa TBC , sijui Zakaria nani , naye kala mwereka
Yule mwingine alikuwa mtangazaji Clouds akawa na kashfa ya kumpiga mwanamke yupo?
Waje tujiajiri huku mitaani kama ambavyo wamekua wakituimbia
Kuwa na mtaji ni swala moja,kuweza kumanage biashara ni swala lingine.Wao tayari wana mitaji
Koneksheni imegomaJerry Muro
Alikuwa na mama mmoja waziri mwandamizi kwa sasa 'kitu cha kusini'😀Jerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Ndio maisha ya kazi za kuteuliwa1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Yule wa ilala mbon hujamweka hapo?1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Mama yake na kidera eeeh🤗🤗🤗🤗Alikuwa na mama mmoja waziri mwandamizi kwa sasa 'kitu cha kusini'😀
Swali gani hili?Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Uzuri zile pingu zake bado anazo atakuja kutapelia watu.Huyo wa no. 2 kiazi kabisa
Chuo gani??Huyo alishakuwa mwalimu wa chuo.
Mitaa gan tena?🤣🤣🤣🤣🤣Dada ulisoma chuo flani nini🤣🤣🤣🤣🤣 pale mitaa ya kati maana inaonyesha unamfahamu vizuri braza jei🤣🤣🤣🤣 na range lake lile🤣🤣🤣🤣
Huyu ndio naka 💪 ninaemjua mimi, ukuta wa chuma.Analipitaje sasa
Sema nliweka ukuta