denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Basi ile kashfa utakuwa mchongo.Nimeshangaa jamaa bado yupo. Ila kahamishwa Wilaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ile kashfa utakuwa mchongo.Nimeshangaa jamaa bado yupo. Ila kahamishwa Wilaya.
Jokate je??? Wapo vilaza wengi tu, ni vile nchi imekosa muelekeo hii. Watu wa hovyo hovyo ndio wapo kwenye kazi za maana za kuleta maendeleo ya nchi. Kujuana sana na siasa kwa kwenda mbele. Nchi ngumu sana hii.Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Mie nilichoka Kwa Juliana Shonza kuwa naibu waziri. Afrika jamaniIla hii nchi bana utaratibu wa kupata viongozi ni wa hovyo sana, kipindi flani nikiwa Mzumbe University- Morogoro tukaletewa mgeni rasmi mmoja hivi mdada ilikua ni siku ya 'ujasiriamali' pale chuoni. Mgeni rasmi alikua ni mkuu wa wilaya ya Mvomero ee bana yule mkuu wa wilaya sijui aliokotwa wapi akapachikwa kwenye hicho cheo. Uchangiaji wa kale kadem ilikua ni aibu kumsikiliza yani tangu siku hiyo sina imani na mwana ccm yeyote hata huyo mnamuita mama.
Kweli kabisa sitashangaa.Naona watu wanamsema sana Jerry Muro, mtashangaa anakuja kuukwaa ukuu wa mkoa . Nchi ngumu sana hii.
Ukiona unasemwa saana jua hupendwi,kwa hili nimegundua muro ana maadui wengi mno kama ilivyokuwa kwa ali hapy,alipopigwa chini wengi sana walifurahi.Naona watu wanamsema sana Jerry Muro, mtashangaa anakuja kuukwaa ukuu wa mkoa . Nchi ngumu sana hii.
NakaziaAligusa paja lako?
Zinapendwa kwa kuwa sio kazi za kitaalamu. Wengi wetu kwa vile hatuna uwezo wa taaluma tulizonazo kudeliver, hiyo nafasi inatufaa sana kwa u "empty head" wetu.Tanzania ni ulafi tu na njaa ila nafasi za ukuu wa mkoa na nafasi za ukuu wa wilaya sijui wale jamaa wanazipendea nini kweli hata kama zina hela na marupu rupu lakini ni kazi za stress na lazima uwe mchawi kweli kweli tena kigwagula yaani mtu anaweza amka tu asubuh umeshatumbuliwa.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Mwaipaya kabaki MwangaKama yapo naombeni Radhi na Kwao pia kwani huenda niliupitia tu Mkeka kwa haraka haraka.
Naomba kujua aliyekuwa DC wa Mwanga Abdallah Mwaipaya na aliyekuwa DC wa Ikungi Jerry Muro wamehamishiwa Wilaya gani?
Nitawashukuruni.
Aligusa paja lako?
Nafikiri Jerry hapendwi na watu wengi sababu ya kuongea sana haswa alipokua Utopoloni, ni sawa na Haji Manara yeye anadhani watu wanampenda kumbe hawampendi haswaa.. Watu wengi wanafurahia kuanguka kwa watu wenye BIG MOUTH ......Sometimes Low key is better than publicity.Ukiona unasemwa saana jua hupendwi,kwa hili nimegundua muro ana maadui wengi mno kama ilivyokuwa kwa ali hapy,alipopigwa chini wengi sana walifurahi.
HapanaMwaipaya amepelekwa Bahi
Manara alishawahi kumtuhumu kuwa anapumiliwaJerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Soma MkekaUna uhakika?
Hizo ni ishu zao za kimpiraManara alishawahi kumtuhumu kuwa anapumiliwa
Hajabadilishwa kituoAbdallah Mwaipay yupo. Kabadilishwa kituo cha kazi tu
Wewe ndo unajua kuchambua habari siyo yule anatutajia tu walioteuliwa bila kutaja waliopigwa chini😀1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Ilikuwa lazima apishe maridhiano Ikungi, mwamba katinga homeJerry Murro.