Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Hahahaha we nae wwHuyu ndio naka 💪 ninaemjua mimi, ukuta wa chuma.
Nimekumiss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha we nae wwHuyu ndio naka 💪 ninaemjua mimi, ukuta wa chuma.
Nimekumiss.
Pamoja na huyo anao watu kibao. Kuna pendo wa mabogini na wengine wengi tuAlikuwa na mama mmoja waziri mwandamizi kwa sasa 'kitu cha kusini'😀
Gabriel ZachariaYumo na yule mtangazaji muongo wa TBC , sijui Zakaria nani , naye kala mwereka
Point ya msingi sana hiiKuwa na mtaji ni swala moja,kuweza kumanage biashara ni swala lingine.
Ilala Bwn Ludigija kapelekwa kwao usukumani.Yule wa ilala mbon hujamweka hapo?
Gabriel Zacharia-Busega, may be arudi TBC1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Yote maisha tu..1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
Ndio kujifunza kwamba kitu ulichokikalia ipo siku utakiacha watakaa wengine,Yote maisha tu..
Mdada mwenye misimamo yake, nakukubali na hilo liko wazi, nawe unajua jinsi nakkukubali.Hahahaha we nae ww
Mmh Bahi ni GondweMwaipaya amepelekwa Bahi
🤣🤣🤣🤣😂😂Mdogo wangu unataka nikiseme na mitaa pia ninyimwe uteuzi🤣🤣🤣🤣Vigezo na masharti kuzingatiwa 🤣🤣🤣🤣🤣Mm mwenyewe candidate namsikilizia Saa 100!!!!Mitaa gan tena?
Ilala Bwn Ludigija kapelekwa kwao usukumani, Said Mtanda wa Arusha chali!
Masahihisho Bahi ni Gondwe,Jerry hajapangiwa Wilaya.Afadhali vipi kwa Jerry Muro?
Ukiteuliwa uniite tuzindue ule msalare na marupurupu ya kwanzaa🤣🤣🤣🤣😂😂Mdogo wangu unataka nikiseme na mitaa pia ninyimwe uteuzi🤣🤣🤣🤣Vigezo na masharti kuzingatiwa 🤣🤣🤣🤣🤣Mm mwenyewe candidate namsikilizia Saa 100!!!!