WapiHuyo alishakuwa mwalimu wa chuo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WapiHuyo alishakuwa mwalimu wa chuo.
Afadhali maana Kinondoni alishindwa kutatua migogoro ya ardhi kule Kata ya Mambwepande .
Alikuwa anauma maneno tu bila kuwa na maamuzi ya haki hata kama ni magumu kufanyika.
RC Makala anajitahidi lakini anawekewa vikwazo na mbunge na hao dhaifu kina DC
Hivi huyu Jokate amebakizwa kwa lipi? Huyu alikuwa active kipindi cha Magu na ni team Magu wa ukweli. Ukiangalia utendaji wake kwa sasa ni Bora liende na hayuko interested kabisa. Kaamua kujizalia mtoto wangemuacha tu alee mwanaye maana kwa sasa ndiyo muhimu. Narudia hayuko kivile kusaidia awamu ya Sita.
Naowafahamu namba 2 na namba 4 tu1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
7)Zainabu Kawawa.
8)Tano Mwera.
9)Abbas Kayanda.
10)Festo Kiswaga.
11)Wilson Shimo.
[emoji3][emoji3]Aligusa paja lako?
Nionavyo mimi ni kuwa Jokate ndo analazimisha uhusiano, maana amekuwa akimtagi sana Vunjabei, mf kwenye mtoto Vunjabei alimpa hongera, Jokate akasema usijikaushe....
Amekuwa akikanwa kwenye media ila dada yumo.
Mwisho utasikia akiomba matunzo
Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Rahabu wa Manyoni1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
7)Zainabu Kawawa.
8)Tano Mwera.
9)Abbas Kayanda.
10)Festo Kiswaga.
11)Wilson Shimo.
Huyo William Shimo huko wilaya Geita alikosea nini?. Au ni muda wa kusitafu kwake umefika?7. Zainabu Kawawa
8. Tano Mwera
9. Shimo alikuwa Geita
10. Abbas Kayanda
11. Kiswaga alikuwa Kahama
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
4)Gabriel Zachariah.
Ongeza Elia Wilinasi1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
7)Zainabu Kawawa.
8)Tano Mwera.
9)Abbas Kayanda.
10)Festo Kiswaga.
11)Wilson Shimo.
Ni sawa tu na ishu ya Jokate. Kuwa na mashaka sana na wanawake serikalini.....usiruhusu mkeo ajiingize huko utalizwa kila siku. Muulize Mh. Kaluwa atakuambia ukweli.Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Afadhali Jokate anajielewa na anajua anachokifanya japo naye aliingia kimchongomchongoJokate je??? Wapo vilaza wengi tu, ni vile nchi imekosa muelekeo hii. Watu wa hovyo hovyo ndio wapo kwenye kazi za maana za kuleta maendeleo ya nchi. Kujuana sana na siasa kwa kwenda mbele. Nchi ngumu sana hii.
super f..lUna uhakika?
unawashwa sana weweUna uhakika?
Hao ndo wamekwisha kumwagwa hivyo!! WakalimeNGOJA MNAODHANI WAMEKWISHA WAPEWE UWAZIRI AU NAFASI NENE ZAIDI.TUBAKI TUNAKODOLEANA MACHO NA KUZODOANA.KUVICHUKULIA KWA MAKINI VITU VYA KITANZANIA NI KUJIKOSEA ADABU.