Mpaka naandika hapa nshafuatilua kote huko nakuona uwezo wake ni mdogo sanaMh Temba kabebwa na Chege ? HOW? Awa wamekutana na Wanaume Family, katafuta albam ya Monduli mobb inaitwa nini kutuzimia, msikilize Temba wayback kabla ajahamia Temeke. Then tafuta albam za wanaume zile mbili fuatilia alipoimba temba urudi na mrejesho....
Temba ndo ile Pure Rap Katuni
[emoji1][emoji1][emoji1] kalidondoka mistari vizuri sana.Pasu kwa pasu
Pkp tunabang weweee
Pkp tunabang weweee..
Kale kadada sijui walikatoa wapi [emoji1]
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Hivi unamjua sugu rafiki kweli au unaleta utani???Sijanzumgumzia heshima ya sugu kwenye muziki wa bongo fleva , nimezungumzia uwezo wa sugu kimuziki kwa kifupi jamaa ana uwezo mdogo sana
Enzi ipi na umezaliwa 94Nimeanza kufuatilia muziki tangu enzi hizi
Na kuna Ile Ngoma Yao inaitwa 50/50Pasu kwa pasu
Pkp tunabang weweee
Pkp tunabang weweee..
Kale kadada sijui walikatoa wapi [emoji1]
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Hapana nakataaa.Sijakosea ...hawana uwezo wowote
Mfano mh temba amebebwa na chege kwa kipind kirefu sana ..
Pengine wewe unaendeshwa na CHUKI BINAFSI.Mkuu msiendeshwe na mapenzi binafsi
Mle yumo Mez B, 50 50 bonge la pin aiseeNa kuna Ile Ngoma Yao inaitwa 50/50
Ukitaka chochote Nani na ninoo nani na ninoo
NI fifty fifty
Da Ila bongo fleva ilikua zamani [emoji16][emoji16][emoji16]
Boraa usemee wee.Mh Temba kabebwa na Chege ? HOW? Awa wamekutana na Wanaume Family, katafuta albam ya Monduli mobb inaitwa nini kutuzimia, msikilize Temba wayback kabla ajahamia Temeke. Then tafuta albam za wanaume zile mbili fuatilia alipoimba temba urudi na mrejesho....
Temba ndo ile Pure Rap Katuni
Ila we jamaa unachekesha Sana bou nako ana Ngoma yake moja inaitwa MBIO ZA VIJITI...Kalapina,
Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache
Sugu
Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music
Jaffarai
Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji
Mchizi mox
Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana
Mike tee mnyalu
Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa
Soggydog hunter
Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake
Bou nako
Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji
Kr mulah
Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji
Mh temba
Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa
Rich one
Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela
Dudu baya
Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa
Maujanja suppliers
Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli
Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Hii ngoma yuko na Ngwair, afu ndani ya wimbo kuna sauti km ya ngwair yaan km kachoka hivi, naipenda ile sauti.Na kuna Ile Ngoma Yao inaitwa 50/50
Ukitaka chochote Nani na ninoo nani na ninoo
NI fifty fifty
Da Ila bongo fleva ilikua zamani [emoji16][emoji16][emoji16]
Nitajie nyimbo 4 tu za hiyoo AlbumMpaka naandika hapa nshafuatilua kote huko nakuona uwezo wake ni mdogo sana
Angalia kwenye biograph yangu hapo utaona
Au nitajie wasanii waliokuwa wanaunda Monduli MobbMpaka naandika hapa nshafuatilua kote huko nakuona uwezo wake ni mdogo sana
Umekosa point ya kuandika Sugu katoa 9 albums , wote tujiulize zina impact ganiHivi unamjua sugu rafiki kweli au unaleta utani???
Yaani mtu ana album Tisa halafu useme ana uwezo mdogo!!
Hizi hapa ni albam alizoimba sugu hebu tafuta hata moja tu halafu ndo ulete hizo porojo zako.
Album hizo ni “Ni Mimi” iliyotoka mwaka 1995, Ndani ya Bongo (1996), Niite Mr II (1998), Nje ya Bongo (1999), Millennium (2000), Muziki na Maisha (2001), Itikadi (2002), Sugu (2004), Coming of Age-Ujio Wa Umri (2006) na VETO iliyotoka mwaka 2009.