Unazingua sana.Kwa hio na wewe unasema ndio yule wa EFM?
Bora ya profesor aisee anajua hadi anajua tena japokua sio mtubwa kubAdilika sana ain yake ya uimbaji ila mr II AKA sugu amna kitu aisee yule ni kama young lunya kujisifia tu taita
Punguza Jazba mkuu nimekuelewa pia haya sasa shushia na pin hii ya SuguUnazingua sana.
Nimekuambia namjua Saleh Jabir wa Ice ice baby,
ila nimeshangaa mtao mada kumtaja huyo wa EFM.
Au ulidhani unanjua peke yako.
Wewe wa 2017 utamwelewa wapi Sugu alikuepo tangu 1995 ? Eti kijana unanielewa kweli?Bora ya profesor aisee anajua hadi anajua tena japokua sio mtubwa kubAdilika sana ain yake ya uimbaji ila mr II AKA sugu amna kitu aisee yule ni kama young lunya kujisifia tu taita
Aisee, sikujua kama kuandikiwa mashairi ni ukosefu wa kipaji!... Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa
Bibi cheka ni marehem sahiv manWapo wengi sana
1-Benjamin wa mambo jambo
2-Bwana misosi
3-pingu na denso
4-dark master
5-kali p
6-mrisho mpoto
7-chege
8-shilole
9-baba levo
10-masawe mtata
11-H baba
12-harmo rapa
13-queen darline
14-bibi cheka
15-bonge la nyau
16-baby madaha
17-snura
18-top c
Aisee list ni ndefu
Mkuu kwaweli list ni ndefu sanaWapo wengi sana
1-Benjamin wa mambo jambo
2-Bwana misosi
3-pingu na denso
4-dark master
5-kali p
6-mrisho mpoto
7-chege
8-shilole
9-baba levo
10-masawe mtata
11-H baba
12-harmo rapa
13-queen darline
14-bibi cheka
15-bonge la nyau
16-baby madaha
17-snura
18-top c
Aisee list ni ndefu
Yes I know about the talent but you speak nonsenseHivi unajua maana ya talent
πππ1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
Sure mkuu, prof yupo mbali sana dhidi ya suguBora ya profesor aisee anajua hadi anajua tena japokua sio mtubwa kubAdilika sana ain yake ya uimbaji ila mr II AKA sugu amna kitu aisee yule ni kama young lunya kujisifia tu taita
Kiukweli temba hana kipaji kabisa. Nyimbo zake alikuwa anaongea ongea tu maneno hovyo na wimbo wake uliompa umaarufu zaidi nd aliongea pumba vibaya mno( ule nampenda yeye). Lakini pia nyimbo we nd mchizi wangu remix yeye alionekana kabisa kuwa sio rapper tofauti na wenzie.Unataka aweje ili umuone ana kipaji
Nikusaidie kwa mazingira ya zaman ilikua ni ngumu sana kutoa nyimbo na ukavuma ni tofauti na sasa hivi
Chujio la zaman ni gumu sana kama huna kipaji tofauti na sasa hivi mafanikio ya msanii yako revolve around kick
Hao uliowataja ni wachache kati ya wengi waliopambana kujulikana ki-music na wakashindwa ukweli ni kwamba watoto wa sahivi mnachukulia mambo kirahis sana kabisa unasimama unasema sugu au temba hana kipaji hivi unayajua mazingira ya 2000 kurudi nyuma huko
Ebu nikuulize una miaka mingapi
Kwamba Jaffarai hana flow Kali?
Halafu kuna wimbo unaitwa HAKIPunguza Jazba mkuu nimekuelewa pia haya sasa shushia na pin hii ya Sugu
Sugu - Ringa ft Ngwear & Dr Levy