Mbwa kala mbwaa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 218
- 389
Popoma Genta Hama kwa shemeji yako, unambana dada yako asile Raha vema. Mkubwa kajenge weweHuu Uzi wako ungenoga zaidi baada ya kumaliza Kuwananga na Kuwacheka Wenzako na Wewe hapo chini ungetuwekea idadi ya Nyumba zako unazozimiliki na alizojenga Baba yako Mzazi.
Otherwise unaonekana ni Mswahili, mpenda Majungu, una Chuki Binafsi, mwenye Wivu na Ujuha mwingi Kichwani mwako.
Mbona misiba haikufanyika kwenye nyumba zao?Mzee Nnauye na Ruge umewaonea. Mmoja kaacha nyumba Masaki na mwingine Block41
🧐Bongo ukiwa na stress, nunua tu bando
Kunywa bia, duniani tunapita tu 😂😂😂Demba wwee tujaze tujazike,haya bhana,Muhudumu lete Bia Kama kawaida, wengine tunasubiri hadi Cement ishuke bei hadi 5000 kwa mfuko ndiyo tuanze hayo Mambo ya ujenzi!!
Wakati mwingine hakuna faida ya kujenga,kama una pa kuishi hadi umauti ukukute.Sema huo ni ubinafsi kama una familia tayari.Maana ikitokea ukafa familia itaishi wapi ?Wao ni bata tu, wanazingua na wapo wengi.
Mimi binafsi napenda niishi mahali pazuri na pasafi. Nyumba nzuri yenye choo na bafu zuri, vile vile kitanda kizuri na jikoni kuzuri.Wakati mwingine hakuna faida ya kujenga,kama una pa kuishi hadi umauti ukukute.Sema huo ni ubinafsi kama una familia tayari.Maana ikitokea ukafa familia itaishi wapi ?
😁,We acha tu..Kwani Dr Shaba ana siri gani ya kifo cha Sokoine??
Kichwa Cha SAUT hiko kinalala kwa dada yakePopoma Genta Hama kwa shemeji yako, unambana dada yako asile Raha vema. Mkubwa kajenge wewe
Labda mjengeLengo lako ni nini?
Dah,maisha haya 4 sanaMmemsahau Jasiri Muongoza Njia Ruge, mshikaji alikufa akiwa amepanga kwenye apartment ya chumba kimoja na sebule. Msiba ulifanyika kwa baba yake Prof. Mutahaba
Alikuwa anasaidia mademu kujenga yeye hakuwa hata na kiosk
Watu hawafanyii misiba kwao kwasababu ya vijicho na husda. Watu washapoteza kazi kisa watu wemeona mijengo yao na kupeleka majungu makazini.Mbona misiba haikufanyika kwenye nyumba zao?