Kila munu ave na kwao.Kuna wengine wana magorofa mijini lakini kwao hata kibanda cha kuku hawana,inakuwa aibu kwa ndugu na jamaa pale Israel akisha mwita sasa ile tumpeleke tumpeleke kijijini wanakuta mwembe tu, mwishowe inakuwa usumbufu kwa waliomleta wanakosa hata pa kwenda haja. Kujenga nyumbani ni muhimu na lazima ili kuepusha familia kuonekana haina kwao, sisi ni Waafrika bana kila mtu ave na kwao( sauti ya mwimbaji marehemu Tongolani wa bendi ya Mwenge Stars iliyokuwa Monduli alikuwa chinga)
Ukiona nchini kuna nyumba (sio kaburi) yenye jina la Ruge Mutahaba niite mbwa nimekaa paleUnauhakika kuwa Boss Ruge Hakujenga ama Unajilimbwasa tu...!? Acha kukariri licha ya kuwa na mijengo mikali Dar, Mwanza, Arusha na Bukoba Boss Ruge alikuwa anamiliki Mashamba makubwa saana kule Morogoro, Mbeya na Iringa..... Ruge akili kubwa kuliko unavyofikiria wewe
Lakini bado yupo hai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]si nae maarufu, enzi hizo ITV ndiyo TV ya Nchi lazima umuone analamba rips, anaigiza maisha ya Joshua[emoji1241]
I.Timoth Apiyo huyu alikuwa KATIBU MKUU ofisi ya Rais Enzi ya Nyerere huyu alizikwa Musoma ila hakuwahi kuboresha nyumba ya Wazazi wake ilibidi Serkali ijenge nyumba haraka na kuuwekea Umeme kabla mwili wa marehemu kupelekwa kwa mazishi1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
7.
Itaendelea
KUPANGA ni Umama mwisho wa siku UKIDAIWA KODI unamuua mwenye nyumbaKujenga ni kuogopa maisha
Serikali wakikomaa na property na Land tax. Watu waliojenga na hawana cash flow watakiwasha.Kuwa na nyumba uswahilini kwenye suburb ya hovyo na kukosa cash flow ya uhakika ni upuuzi mkubwa sana na ndio watanzania wengi wanaishi hivyo.
Nyumba ya lemutuz ikoje?
Ishu ya babake kutojenga ni kweli,alikula bata akajisahauPants down kwa Nape, amepambana kivyake na sasa uchungu wa kutojenga (kama kweli) kwa baba yake hata hakumsumbui.
Sijui wanakuwa wanawaza nini ,huku mitaani wapo kibao hawajajenga na uwezo wanaoI.Timoth Apiyo huyu alikuwa KATIBU MKUU ofisi ya Rais Enzi ya Nyerere huyu alizikwa Musoma ila hakuwahi kuboresha nyumba ya Wazazi wake ilibidi Serkali ijenge nyumba haraka na kuuwekea Umeme kabla mwili wa marehemu kupelekwa kwa mazishi
Inajua hilo, ndio maana inawaonea huruma.Serikali wakikomaa na property na Land tax. Watu waliojenga na hawana cash flow watakiwasha.
PUMBAVUUUU ( in vicent kigosi voice )1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
7.
Itaendelea
Is collective thinking bad?Tatizo mmeathirika sana na fikra za Kijamaa..collective thinking
Sasa kama mtu hana hata banda na alikuwa gavana, unamteteaje?Ujinga upi ninaoutetea? Read to understand. Kuna watu wamejenga Mabanda na kuna watu wamejenga Nyumba.
What if alikuwa na uwezo wa kulipia apartment rent hadi anakufa..na ana businesses zake za kumuingizia kipato bila matatizo. Kuna watu nawafahamu Bongo hii hawana nyumba za kuishi ila wanamiliki hadi Viwanda na kuna wengine wana nyumba ila hawazitumii ni strictly for business. Wengi msichokielewa ni kwamba suala la kujenga na kumiliki nyumba sio lazima sanaa kama mlivyokariri chenye ulazima ni mtu kuwa na kipato wakati wote wa maisha yako. Dunia ya leo mambo yamebadilika mnoo.Sasa kama mtu hana hata banda na alikuwa gavana, unamteteaje?
Mzee Yusuf amejenga chanika hukoMzee Yusuph amejenga kweli?.. nilimuona anatoa ushauri tusiishi kwa mwanamke, yeye alifukuzwa kwa mkewe mchaga