Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Dah mzee una mafaili hatari
 
Huenda huyo huyo mke ndiye aliyemuua mume
 
[emoji38][emoji38][emoji38] hayo majamaa au siyo?
 
Kuna bibi alikua anaitwa mundende sijui Gissele enzi za kina king dodoo la buchee anawapaka mkorogo hao mpk sio poa.
Alikua bibi yangu manzese huko ndani ndani.
Hao wanashinda pale ndani kwetu anawasuka wanakula ugali wanapumzika wanaingia kukata viuno
Gissele alikua na salon ya kwanza stereo kusuka nywele.
Sijui yuko wapi
 
Dunia Tunapita, Utajengaje njiani huo ni uhuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…