Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Utakufa bila kufunga macho wewe
Acha ujinga.walojenga hizo nyumba zinawasaidia nini huko kaburini?wangezikwa kwenye nyumba zao basi?? Tena wengine nyumba zao zilishauzwa tena bei chee tu na watu wakala hela wakapita hivi
Acheni kushauri us...Ng...kupangisha ni kuishi kama uko safarini usimame kwenye gari tusidanganyan
 
OP ameongea point sana vijana wa siku hizi hatuna misimamo. Na Jamiiforum forum ya zamani ilikuwa nzuri sana. Natamani Melo afungue jukwaa la wazee kuwafunza vijana. Jamiiforum ya wakina Nyani Ngabu watu walikuwa wanapata changamoto wanapata suluhu humu humu. Aisee nilijifunza mengi sana kipindi hicho. Nipo mbali na nyumbani lakini nikiingia mitandaoni nakereka sana. Yaani hakuna mambo constructive ya kitanzania kwenye internet. Leo nilikuwa YouTube naangalia Millard Ayo najuta stori ya mbwa Arusha akilishwa sumu anafufuka.
 
Mbona apo T I D hayupo nasikia nae anakaa kwa mama ake mpk leo
Yupo kwao kweli kinondoni na aligoma kuhama,aongezwe kwenye list au apotezewe sababu ana fail mwananyamala la watumiaji wa unga(sobber)Hayuko sawa mentally
 
Looo hakuna mtu wa mkoa wa Kilimanjaro hapo
Ila mtoa mada wewe ni mbea unafuatilia ya watu jiulize Elon Musk tajiri number one duniani ana nyumba?
Mohamed Dewji nina uhakika anayo ila sio kipaumbele chake
wanaojenga nyumba ni watu masikini wasiojiamini na maisha
Wewe hujatembea inaonekana nenda Marekani,Ulaya, na nchi zilizoendelea hakuna mtu eti anajenga nyumba wanachukua lease.Nyumba zinajengwa na real estates companies wewe unanunua
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wakiambiwa kujenga wanakwambia samaki samaki hatuendi na nyumba wakifa wanadhalilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…