Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Wema mbona nasikia ana nyumba Mbagala huko na Steve ana nyumba Mbezi beach au Goba kama sijakosea!
Wema hana nyumba,huko mtoni k8jichi alikuwa kajiegesha tu,steve nyerere kweli ana nyumba
 
Fafanua hapo Kwa professor alikuwa anawatishia kuwa kifo Cha sokoine ni Cha kupangwa au Nini?
Ndio maana yake,huwa akilewa pale IFM baa ya chuo anaropoka kuwa maiti yake ilikutwa na risadi
 
Dr. Omar alikuwa kiongozi makini sana, Hakuwa fisadi na alikuwa anasaidia sana watu
 
Dr. Omar alikuwa kiongozi makini sana, Hakuwa fisadi na alikuwa anasaidia sana watu
Ni kweli,tuliona nyumba yake kule pemba kupitia luninga siku ya mazishi yake ilikuwa nyumba ya kawaida sana,japo hakuba uhusiano kati ya kujenga na ufisadi,Nyerere hakuwa fisadi ila kabla ya uhuru alikuwa na nyumba nzuri sana magomeni mikumi
 
Back
Top Bottom