Ni kweli,tuliona nyumba yake kule pemba kupitia luninga siku ya mazishi yake ilikuwa nyumba ya kawaida sana,japo hakuba uhusiano kati ya kujenga na ufisadi,Nyerere hakuwa fisadi ila kabla ya uhuru alikuwa na nyumba nzuri sana magomeni mikumiDr. Omar alikuwa kiongozi makini sana, Hakuwa fisadi na alikuwa anasaidia sana watu
Nyumba ninayo babu na mashamba lukuki...asante kwa ofwaa...Kwa kukuonea huruma nakuhonga kiwanja kinyerezi 20*40 kujenga utajenga mwenyewe
Asante jamani...kuna vi toto vay afu mbili humu havina kiwanja hebu vibless hivyo...πππKwani ukiwa nazo mbili tatu kuna ubaya bibie
ππππvisikilize miziki ya imosheni ili vilie...haya mkuu asanteVitakiuza vinunue subufa
Wazuri Huwa hawachelewi wanafariki.ni kama tu Mzalendo magufu kwa ufanyaji mzuri wa kazi.Dr. Omar alikuwa kiongozi makini sana, Hakuwa fisadi na alikuwa anasaidia sana watu