Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Steve Nyerere anayo nyumba mzee usimchukulie poa
 
Wanaopanga hawawezi kuisha. Mtu anaanza maisha anapanga baadae anajenga anahama. Mzunguko unaendele.
 
Ni kweli,tuliona nyumba yake kule pemba kupitia luninga siku ya mazishi yake ilikuwa nyumba ya kawaida sana,japo hakuba uhusiano kati ya kujenga na ufisadi,Nyerere hakuwa fisadi ila kabla ya uhuru alikuwa na nyumba nzuri sana magomeni mikumi
Nyumba ya mikumi ya kupewa.
 
Wema mbona nasikia ana nyumba Mbagala huko na Steve ana nyumba Mbezi beach au Goba kama sijakosea!
Umesikia ila ukweli ni kwamba HANA, yeye anapangishiwa tu na wanaume wakimchoka wanamtimua na kumnyang'anya kila kitu
 
Andiko la kipumbavu japo linavutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…