Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Yaani mtu akijenga anaona usiye na nyumba huna maisha wala maendeleo, wakati Najimudu kupanga na kulipia kodi nyumba ya hadhi zaidi ya ile anayoishi yeye
Naamini kila mtu ana kipaumbele kipimo chake cha mafanikio, kikubwa Namudu majukumu yangu na nina amani
Tatizo siku ukiondoka wewe mlipakodi hao utakaowaacha unahisi wataishi kwa taabu kiasi gani?
 
Huu Uzi wako ungenoga zaidi baada ya kumaliza Kuwananga na Kuwacheka Wenzako na Wewe hapo chini ungetuwekea idadi ya Nyumba zako unazozimiliki na alizojenga Baba yako Mzazi.

Otherwise unaonekana ni Mswahili, mpenda Majungu, una Chuki Binafsi, mwenye Wivu na Ujuha mwingi Kichwani mwako.
Huu Uzi umejah majungu tu,uko sahih popoma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama kujenga ni uamuzi wa mtu kwa nini uwekwe kwenye orodha, yaani maamuzi yangu yanawahusu nini? Kwa nini uhangaike kujua kama sikujenga ama nilijenga?

Nadhani watu tuache maisha ya kiswahili ya kufuatiliana, ishi maisha yako, sikujenga ama nilijenga is non of your business.
Hapa hajasema watu wajenge wala hajashauri lolote kuhusu ujenzi.

Kutaja watu wasiojenga ni sawa na kutaja kinyume, yaani waliojenga.

Ama kutaja wasiojenga ni sawa na kutaja majina ya Marais wa Afrika kwa kujifurahisha ama kukumbushana tu, kunakuwa na ubaya gani?

Lakini mkuu lazima pia uelewe kuwa jambo lolote lililomo katika jiografia ya maisha yako, mfano: jirani, milima, mito, wezi, watoto, shule, kanisa, ofisi za serikali nk nk, yaani mtu yeyote, kitu chochote ama jambo lolote lililo kwe mzunguko wa maisha yako linakuhusu kimazingira hata kama hautaki.
 
Back
Top Bottom