Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

Nimecheka sana. Eti "Am very excited to be part of this journey."

Sema kwenye bookworms kuna hawa wasoma vitabu vya uchumi na selfhelp kama Rich Dad poor dad, millionare fastlane, the monk who sold his ferrari, eat that frog, atomic habit, whi moved my cheese et al. Hawa ni wanaona wameyapatia hata kwa bookworms wenzao.

Matajiri wa madini

Waalimu waliojenga.
Madon wa matajiri wakishakuwa na mguu wa kuku hapa kiunoni life lote kalipatia mkuu


Walimu waliojenga nao machungu ya mkopo wakikumbuka daah

Wazee wa vitabu, kuna mmoja aisee kila siku huko mjini whatsapp ni kupost tu kurasa na front page sio poa
 
Nimekula mjini tena mjini kweli huko chuoni kwa matapeli ila ugali umenileta kijijini hku ndugu watumishi wa halmashauri wanajionaga hakuna kama wao .

Ndiyo maana makanisa ya kilokole huku vijijini yameweka kabisa viti mbele special kwa nesi na daktari wa kijiji ikiwa wanasali hapo , usisahau na askari kata yaani raha tupu .



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hahaha kweli tembea uyaone, watu wamewekewa siti spesho kabisa [emoji3][emoji2]
 
23. Watanzania wanaotumia mtandao wa linkedin.
Binafsi nilijaribu kutumia ule mtandao nikaushindwa.. Sijui ndio ushamba au nini japo wanasema ni mtandao mzuri kwa connection za kazi na networking, nikaona isiwe tabu ngoja nipambanie kitaa tu
 
Back
Top Bottom