Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sasa si umetuongelea wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madon wa matajiri wakishakuwa na mguu wa kuku hapa kiunoni life lote kalipatia mkuuNimecheka sana. Eti "Am very excited to be part of this journey."
Sema kwenye bookworms kuna hawa wasoma vitabu vya uchumi na selfhelp kama Rich Dad poor dad, millionare fastlane, the monk who sold his ferrari, eat that frog, atomic habit, whi moved my cheese et al. Hawa ni wanaona wameyapatia hata kwa bookworms wenzao.
Matajiri wa madini
Waalimu waliojenga.
Basi inaonesha wewe sio mpenda sifaDaaahh, sipo kwenye nafasi hata moja uliyotaja.
Ngoja nitafute nafasi nijichomeke
Si anaona unamsumbua etiUkimwambia fungua dirisha kidogo inakua mgogolo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119] we jamaa, umetumia lugha kali.. Walikuzingua niniNdugu yangu Joseverest umesahau makundi mawili yanayo nuka mavi huku maofisini.
1. Watu wa idara ya HR.
2. Watu wa idara ya uhasibu.
Aiseee, anyways upo Sahihi [emoji847]Inashangaza Sana [emoji38] mm nashanga wkt siti unakah ukipata nafsi
Sasa hao nao wanajisikia VIP
Mleta mada Ana tatzo la afya ya akili huwenda huyu Ni gentamycine
Vijana naona wameamua kufanya HIPHOPHahaa!
Mkuu nimekuja kuulizia juzi bei zake hizo Crocs naambiwa 50k-100k nilishangaa mpaka utumbo ukacheza JejeIla hao wavaa ma yeboyebo (Crocs) [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tz yamejaa mazezeta Kama misukule baridi bhasi inajikuta Introvert.Humo humo, watakuambia eti elon musk alikua introvert
Mkuu tuelezee kidogo hapa, wameyapatia maisha kivipiWanywa kahawa.
Wapenda F1, Basketball, MotorGP
Wanywaji Liquor Store
Watakuanzishia vita mkuu, upo tayari...wazee wa apple watakupopoa maweKuna ya kweli mkuu sikupingi hasa kaa hili la vijamaa vya iPhone
[emoji120][emoji120]Thanks mkuuHuu umeanza vizuri sana congratulations. Too humble
Hahaha kweli tembea uyaone, watu wamewekewa siti spesho kabisa [emoji3][emoji2]Nimekula mjini tena mjini kweli huko chuoni kwa matapeli ila ugali umenileta kijijini hku ndugu watumishi wa halmashauri wanajionaga hakuna kama wao .
Ndiyo maana makanisa ya kilokole huku vijijini yameweka kabisa viti mbele special kwa nesi na daktari wa kijiji ikiwa wanasali hapo , usisahau na askari kata yaani raha tupu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sasa je, zile harakati za uandikishaji hadi uje uipate kadi sio mzaha ndugu yangu..NIDA siku hizi ni deal sanaIla wenye vitambulisho vya NIDA nao sometimes tunajionaga kama tumeyapatia maisha hivi?!!!!! Au mnaonaje?
Binafsi nilijaribu kutumia ule mtandao nikaushindwa.. Sijui ndio ushamba au nini japo wanasema ni mtandao mzuri kwa connection za kazi na networking, nikaona isiwe tabu ngoja nipambanie kitaa tu23. Watanzania wanaotumia mtandao wa linkedin.
There you are [emoji736]Hata sio mikoani mbagala -kawe, mbagala - makumbusho, Tegeta -kivukoni au gerezani, mbagala- g/ mboto yaani huwa wanajisikia hao balaa
Halafu mtu mwenyewe kapandia dirishani hapo hapo!
OkayMimbaaaaa