Orodha yangu ya Wanachama bora wa Jamiiforums mpaka sasa

Binadam bwana ina mana hata aliekuwa anawagea vocha kina Poor Brain hafai kuwepo hapo?
Kwani mkuu vocha nilikua nagaiwa peke angu..

Kwani mkuu mimi ndo kiongozi mpaka umeni tag hapo

Kwani mkuu kusema ujawaona kina Mbaga Jr na mwenzake Vincenzo Jr
Mi sijapenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu Advocate Pascal Mayala hata kwenye jamii inayomzunguka huwa anashiriki kila kitu (misiba +chaguzi)
Huyu jamaa ni mfano wa kiongozi kwa jamii.
 
Wakongwe wa kaz mmetusahau watu tupo kitambo tangu 2010 enz za chacha wangwe na dr slaa
 

Ahsante sana MkΓ»u.
Lakini huyo Aaliyyah kwa kweli unamkubali Sana.
Embu akufikirie.

Mpaka ulianzisha Maandamano na upo tayari hata kwenda Jela kwaajili yake
 
Yaani hata wewe mwenyew hujajiweka maana yake hujikubali na

huna faida yoyote humu. Halafu umesema hiki ni Chama waulize wamechukua form?



😹😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…