Orodha yangu ya Wanachama bora wa Jamiiforums mpaka sasa

Umemsahau kinguhj
 
Wote hao hawana majukumu sana. Na mm nilikuwamga hivyo 2013. Nilipewegwa matuzo ya ajabu ajabu na tuzo uchwara nyingi sana majukumu yalivyonibana sawa sawa, hata kuandika tu mda huo nakosa aisee
 
Bila mimi na Lucas Mwashambwa hii list haitachangamka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ