Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
....Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?
Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?
View attachment 3260857
Hakuna ugonjwa wa akili mbaya kama imani!, so kwakulitambua hilo wakaamua wakazike sehemu ambayo ni ngumu kufikika na hapajulikani kwamaana ukiuzika mwili wa huyo jamaa watu wanaweza kwenda kuhiji!, na wakaanza kupata hasira kama zake kwa kusimuliwa hadithi na mambo aliyofanya so wangeibuka wakina osama wengine!..Nilishindwa kuelewa kwanini jamaa waliamua kuutupa mwili wake baharini
Kwanini wasingeuacha huko huko ndugu zake wakamzika
Ila Osama nae alikuwa ameshachoka kukaa kama digidigi
🤣 Alifariki lini? Akazikwa wapi?alishafariki mapema kama alivopangiwa na allah.
walibakia kupigana na familia zake lengo kuficha ukweli.
Wazungu walitutangulia mbele kwa uelewa. Walikuwa hatua nyingi sana mbele. Pia kiisilamu mtu aliyekufa vitani anaweza zikwa baharini. Ila pia kama kungekuwa na kaburi lake Osama angeonekana ni shujaa na watu wangeenda kupata mafundisho ya kuwapandishia mzuka huko.Nilishindwa kuelewa kwanini jamaa waliamua kuutupa mwili wake baharini
Kwanini wasingeuacha huko huko ndugu zake wakamzika
Ila Osama nae alikuwa ameshachoka kukaa kama digidigi
Wakati wa mazishi yake walitoa ufafanuzi kwa kirefu sana, kwanini wanamzikia baharini.Nilishindwa kuelewa kwanini jamaa waliamua kuutupa mwili wake baharini
Kwanini wasingeuacha huko huko ndugu zake wakamzika
Ila Osama nae alikuwa ameshachoka kukaa kama digidigi
Kweli chizi bado hujapona, nikajua utasema sehemu alipo, na ushahidi ukiweka humu kumbe maneno matupu.Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?
Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?
View attachment 3260857
Simple tu' angeonekana kama MTUME kwenye dini Ile na watu wangeanza kumuabudu na kumuona shujaa.Nilishindwa kuelewa kwanini jamaa waliamua kuutupa mwili wake baharini
Kwanini wasingeuacha huko huko ndugu zake wakamzika
Ila Osama nae alikuwa ameshachoka kukaa kama digidigi