Osama Bin Laden hakuuawa! Miaka zaidi ya 10 sasa

Osama Bin Laden hakuuawa! Miaka zaidi ya 10 sasa

Hakuna ugonjwa wa akili mbaya kama imani!, so kwakulitambua hilo wakaamua wakazike sehemu ambayo ni ngumu kufikika na hapajulikani kwamaana ukiuzika mwili wa huyo jamaa watu wanaweza kwenda kuhiji!, na wakaanza kupata hasira kama zake kwa kusimuliwa hadithi na mambo aliyofanya so wangeibuka wakina osama wengine!..
ogopa kitu kinachoitwa imani na ndio maana mnafunzwa muwe makini na mnachowaaminisha watoto wenu!.
Mkuu wangemuua wangefanya kama Saddam na ghadaffy.Kwa Ossama tutaendelea na Imani.
 
Kama Osama angekuwapo lazima habari zake zingeendelea kuvuma, na hata baadhi ya matukio yangeweza kujitokeza, lakini kwa ukimya huu inadhihirisha aliishalala mauti.
 
Alikuwa CIA agent , amekamilisha operesheni yake wamemchukua.

Kasome history hata ya mwalimu wake Ali Abdul Saoud Mohamed utagundua alikuwa agent wa CIA na Mossad.

Mambo ya dunia sivyo kama yalivyo.
Wale jamaa ukishirikiana nao , labda uishi nao milele ila ukitoka tu hawakuachi ..Huyo Saddam alikuwa mshirika wao hata huyu Zelenksy wanamzingua sasa .
 
Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?

Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?

View attachment 3260857
Yale yale story zenu za 2pac
 
Media Control.
Endeleeni kucheza mziki msioujua.
 
Alikuwa CIA agent , amekamilisha operesheni yake wamemchukua.

Kasome history hata ya mwalimu wake Ali Abdul Saoud Mohamed utagundua alikuwa agent wa CIA na Mossad.

Mambo ya dunia sivyo kama yalivyo.
Mission yake ilikua ni nini?

Kuasisi matukio ya kigaidi ili kuua maelfu ya wamarekani?
 
watu na nadharia zao tu huyo mwamba alijisahau kile kipindi cha ukimya kumbe wahuni wanatafiti taratibu alipo!, na walipobaini walihakikisha hawamkosi maana wangemkosa ile siku basi vyombo vyao vya ulinzi vingeisema ile kauli ya "mayday!".

Huyu mwamba sio kwamba picha zake hazikutoka, zilitoka na akazikwa huko baharini kama angekuwepo tayari angekuwa ameshapapasa ardhi ya marekani!, ikumbukwe na baadhi ya member wa familia yake waliuliwa sio kwa bahati mbaya ni maksudi!.

Watu hupenda tu kutoka na nadharia zao pasipo ukweli wa mambo! maana wanajua watu mnapenda kusikia hivyo vitu!
Si huwa wanasema pia 2pack hakufa , sijui eminem ni clone basi tu wamarekani wanapenda hizo theories.
Mwamba alikata moto ila kuna wafuasi wake hawataki kuamini
 
Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?

Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?

View attachment 3260857
Dunia imepoa sana itabidi kupatikane tena osama mwingine dunia ichangamke
 
watu na nadharia zao tu huyo mwamba alijisahau kile kipindi cha ukimya kumbe wahuni wanatafiti taratibu alipo!, na walipobaini walihakikisha hawamkosi maana wangemkosa ile siku basi vyombo vyao vya ulinzi vingeisema ile kauli ya "mayday!".

Huyu mwamba sio kwamba picha zake hazikutoka, zilitoka na akazikwa huko baharini kama angekuwepo tayari angekuwa ameshapapasa ardhi ya marekani!, ikumbukwe na baadhi ya member wa familia yake waliuliwa sio kwa bahati mbaya ni maksudi!.

Watu hupenda tu kutoka na nadharia zao pasipo ukweli wa mambo! maana wanajua watu mnapenda kusikia hivyo vitu!
Ni kweli aliuliwa. Umbea mwingi. Mfano ni wambea wanavyodai Yahya Sinwari kaonekana tena Gaza. Kwa maoni yangu, hiyo ni mbinu ya magaidi kutiana moyo kuwa boss wao bado yuko hai
 
Nakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?

Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?

View attachment 3260857
Yupo anatafuna bikra 72 huko akhera
 
Hivi ukiacha ile video inayoonesha kuwa alivingirishwa nguo na kutupwa baharini...kuna alieiona maiti ya Osama km ilivoonekana kwa Sadam Hussain, Gaddafi au Nasrillah?
Ungeiona wapi kama ilitupwa baharini ikiwa imefungiwa jiwe? Anyway.tuseme yupo. Enheeeehh....yupo wapi? Kimanzichana?😁 Halafu toka siku hiyo Osama ameamua kunyamaza?
 
Back
Top Bottom