watu na nadharia zao tu huyo mwamba alijisahau kile kipindi cha ukimya kumbe wahuni wanatafiti taratibu alipo!, na walipobaini walihakikisha hawamkosi maana wangemkosa ile siku basi vyombo vyao vya ulinzi vingeisema ile kauli ya "mayday!".
Huyu mwamba sio kwamba picha zake hazikutoka, zilitoka na akazikwa huko baharini kama angekuwepo tayari angekuwa ameshapapasa ardhi ya marekani!, ikumbukwe na baadhi ya member wa familia yake waliuliwa sio kwa bahati mbaya ni maksudi!.
Watu hupenda tu kutoka na nadharia zao pasipo ukweli wa mambo! maana wanajua watu mnapenda kusikia hivyo vitu!