Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #61
Safi sana ...anawalamba kinyamaYupo anatafuna bikra 72 hiko akhera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana ...anawalamba kinyamaYupo anatafuna bikra 72 hiko akhera
Ndio maiti yake isionekane kabisa kabisa. Si wangeisasambua dunia nzima ikaishuhudia. Why waoneshe wamevingirisha maiti yake na kuitupa baharini!? Waniichome moto labda!? Why?Osama alikuwa Gaidi unataka Gaidi apewe credit za marais??
Osama hajafa. Yupo hapo Visiwa vya Carribean anakula bata pamoja na wake zake wanneNdio maiti yake isionekane kabisa kabisa. Si wangeisasambua dunia nzima ikaishuhudia. Why waoneshe wamevingirisha maiti yake na kuitupa baharini!? Waniichome moto labda!? Why?
Hilo kaburi lake lingeweza chochea kuinuka hata kwa dini mpya.Nilishindwa kuelewa kwanini jamaa waliamua kuutupa mwili wake baharini
Kwanini wasingeuacha huko huko ndugu zake wakamzika
Ila Osama nae alikuwa ameshachoka kukaa kama digidigi
You can't be serious 😂Ila nimemmiss sana sana alikuwa anachangamsha sana dunia....kama yupo apige fatwaa moja watu tuchangamke pamepooza sana
Hebu jazia nyama kidogo mkuu hivi alikufa kwa uzee au kwa maradhiOsama alifariki natural death mwaka 2009.
Unajua Collateral Damage?Mission yake ilikua ni nini?
Kuasisi matukio ya kigaidi ili kuua maelfu ya wamarekani?
Again, if dozens of premeditated terrorist attacks that killed thousands Americans were collateral damage as you say then what was the main mission assigned to Osama?Unajua Collateral Damage?
Osama alikufa miaka miwili kama ile filamu ya kuuwawa.Kwa maana hiyo kwa sasa ni marehemu shujaa ambaye hakukamatikaNakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?
Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?
View attachment 3260857
uongo sheikh wangu..... huu uongo wa kitoto sana.Osama alikufa miaka miwili kama ile filamu ya kuuwawa.Kwa maana hiyo kwa sasa ni marehemu shujaa ambaye hakukamatika
😂😂😂😂Mtu umetoka huko kumwaga bao kwa mkeo, unaongelea marekani imedanganya duniani kumuua osama😂😂😂😂. Hivi wewe osama ulipigiwa tu story au ndio netflix.
Kila shambulio mpuuzi aliua watu si chini ya 3000. Na kila miaka miwili, lazma aje ashambulie, from 1996,1998,2000, 2001 ndio ile septemba 11. Alafu akakaa more than 5 years anachinja tu wamarekani. Na kuandaa shambulizi la hatari. Huyu angeilipua dunia nzima at once, ilibidi kumsaka before hajarudi. Alikua psychopath. Hivi nyie watoto wa 95 mnasimuliwa.
Marekani akudanganye wewe, wewe na sisi kama nani?
Waulize waliokuwa ubalozi wa marekani pale bibi zako watakwambia nini maana ya tukio analopanga osama anaingilia hadi mfumo wa anga na satellite.
Watoto bwana, eti tumedanganywa.😂😂😂😂😂with who, nani akudanganye😂😂😂😂 mamayo.
Anaenjoy wale 72alishafariki mapema kama alivopangiwa na allah.
walibakia kupigana na familia zake lengo kuficha ukweli.
Umuone ili?Hivi ukiacha ile video inayoonesha kuwa alivingirishwa nguo na kutupwa baharini...kuna alieiona maiti ya Osama km ilivoonekana kwa Sadam Hussain, Gaddafi au Nasrillah?
Duuh hii CCM mimi hoi......inatosha jmnIla nimemmiss sana sana alikuwa anachangamsha sana dunia....kama yupo apige fatwaa moja watu tuchangamke pamepooza sana
😂😂😂Angekuwa hai angetumia hiyo nafasi kuwaumbua wamerekani na kuwapa marali magaidi kwamba marekani imemshindwa...mshikaji analamba asali na mabikra 72 kwa sasa