Mtu umetoka huko kumwaga bao kwa mkeo, unaongelea marekani imedanganya duniani kumuua osama😂😂😂😂. Hivi wewe osama ulipigiwa tu story au ndio netflix.
Kila shambulio mpuuzi aliua watu si chini ya 3000. Na kila miaka miwili, lazma aje ashambulie, from 1996,1998,2000, 2001 ndio ile septemba 11. Alafu akakaa more than 5 years anachinja tu wamarekani. Na kuandaa shambulizi la hatari. Huyu angeilipua dunia nzima at once, ilibidi kumsaka before hajarudi. Alikua psychopath. Hivi nyie watoto wa 95 mnasimuliwa.
Marekani akudanganye wewe, wewe na sisi kama nani?
Waulize waliokuwa ubalozi wa marekani pale bibi zako watakwambia nini maana ya tukio analopanga osama anaingilia hadi mfumo wa anga na satellite.
Watoto bwana, eti tumedanganywa.😂😂😂😂😂with who, nani akudanganye😂😂😂😂 mamayo.