NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Mkuu wangemuua wangefanya kama Saddam na ghadaffy.Kwa Ossama tutaendelea na Imani.Hakuna ugonjwa wa akili mbaya kama imani!, so kwakulitambua hilo wakaamua wakazike sehemu ambayo ni ngumu kufikika na hapajulikani kwamaana ukiuzika mwili wa huyo jamaa watu wanaweza kwenda kuhiji!, na wakaanza kupata hasira kama zake kwa kusimuliwa hadithi na mambo aliyofanya so wangeibuka wakina osama wengine!..
ogopa kitu kinachoitwa imani na ndio maana mnafunzwa muwe makini na mnachowaaminisha watoto wenu!.
Wale jamaa ukishirikiana nao , labda uishi nao milele ila ukitoka tu hawakuachi ..Huyo Saddam alikuwa mshirika wao hata huyu Zelenksy wanamzingua sasa .Alikuwa CIA agent , amekamilisha operesheni yake wamemchukua.
Kasome history hata ya mwalimu wake Ali Abdul Saoud Mohamed utagundua alikuwa agent wa CIA na Mossad.
Mambo ya dunia sivyo kama yalivyo.
Yale yale story zenu za 2pacNakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?
Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?
View attachment 3260857
Hajafariki huyo, ndo maana unajua aliko.🤣 Alifariki lini? Akazikwa wapi?
Osama alikuwa Gaidi unataka Gaidi apewe credit za marais??Hivi ukiacha ile video inayoonesha kuwa alivingirishwa nguo na kutupwa baharini...kuna alieiona maiti ya Osama km ilivoonekana kwa Sadam Hussain, Gaddafi au Nasrillah?
Mission yake ilikua ni nini?Alikuwa CIA agent , amekamilisha operesheni yake wamemchukua.
Kasome history hata ya mwalimu wake Ali Abdul Saoud Mohamed utagundua alikuwa agent wa CIA na Mossad.
Mambo ya dunia sivyo kama yalivyo.
Si huwa wanasema pia 2pack hakufa , sijui eminem ni clone basi tu wamarekani wanapenda hizo theories.watu na nadharia zao tu huyo mwamba alijisahau kile kipindi cha ukimya kumbe wahuni wanatafiti taratibu alipo!, na walipobaini walihakikisha hawamkosi maana wangemkosa ile siku basi vyombo vyao vya ulinzi vingeisema ile kauli ya "mayday!".
Huyu mwamba sio kwamba picha zake hazikutoka, zilitoka na akazikwa huko baharini kama angekuwepo tayari angekuwa ameshapapasa ardhi ya marekani!, ikumbukwe na baadhi ya member wa familia yake waliuliwa sio kwa bahati mbaya ni maksudi!.
Watu hupenda tu kutoka na nadharia zao pasipo ukweli wa mambo! maana wanajua watu mnapenda kusikia hivyo vitu!
Dunia imepoa sana itabidi kupatikane tena osama mwingine dunia ichangamkeNakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?
Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?
View attachment 3260857
Mh!Mkuu wangemuua wangefanya kama Saddam na ghadaffy.Kwa Ossama tutaendelea na Imani.
Kwa wanaojua sifa za wazungu wataelewa,kwanza Osama alikuwa ngao tu ya kuivamia afghanistan.
Ni kweli aliuliwa. Umbea mwingi. Mfano ni wambea wanavyodai Yahya Sinwari kaonekana tena Gaza. Kwa maoni yangu, hiyo ni mbinu ya magaidi kutiana moyo kuwa boss wao bado yuko haiwatu na nadharia zao tu huyo mwamba alijisahau kile kipindi cha ukimya kumbe wahuni wanatafiti taratibu alipo!, na walipobaini walihakikisha hawamkosi maana wangemkosa ile siku basi vyombo vyao vya ulinzi vingeisema ile kauli ya "mayday!".
Huyu mwamba sio kwamba picha zake hazikutoka, zilitoka na akazikwa huko baharini kama angekuwepo tayari angekuwa ameshapapasa ardhi ya marekani!, ikumbukwe na baadhi ya member wa familia yake waliuliwa sio kwa bahati mbaya ni maksudi!.
Watu hupenda tu kutoka na nadharia zao pasipo ukweli wa mambo! maana wanajua watu mnapenda kusikia hivyo vitu!
Ambao umeingia ubongoni mwako.Jf kwanini inaachia mada za wapumbavu.. nimesoma nikijua heading ni ukweli ndani imejaa uharo
Yupo anatafuna bikra 72 huko akheraNakumbuka sana tulitangaziwa sehemu mbalimbali kuwa Osama hajauawa. Ni propaganda za Wamarekani. Na hoja ikawa kama kweli wamemuua kwa nini wasimwoneshe uso na mwili wake?
Leo hii ni zaidi ya miaka 10 imepita je Osama Bin Laden atakuwa sehemu ametulia tu kimya? Au tukubaliane na ukweli ambao ni mchungu kuwa huyu mwambata aliuawa?
View attachment 3260857
Ungeiona wapi kama ilitupwa baharini ikiwa imefungiwa jiwe? Anyway.tuseme yupo. Enheeeehh....yupo wapi? Kimanzichana?😁 Halafu toka siku hiyo Osama ameamua kunyamaza?Hivi ukiacha ile video inayoonesha kuwa alivingirishwa nguo na kutupwa baharini...kuna alieiona maiti ya Osama km ilivoonekana kwa Sadam Hussain, Gaddafi au Nasrillah?