Afai,kwanza A.C.T washaanza mapema kuwabagua wapemba.Maskini "Unatafunwa"[emoji134]
Mwenye picha kashaichukua?au hata yeye amejikataa 😄😄😄😄😄Usiyempenda kaja
View attachment 1714757
Mpemba au Muunguja mwenye kujua...
In Mohamed Khelef's (Alghassany) voiceGumzo na Mwanasheria Othman Masoud: Nafasi ya Umoja wa Kitaifa kwenye Ajenda ya Zanzibar (Silsila 2)
Huyu Jamaa ni mtu hatare sana
Alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Znz wakati wa Dr Shein, alisaliti msimamo wa Serikal akajiunga na Upinzani Bungeni hadi akafutwa Kazi!
Ww mbno ulishakuharibu ila hatusemiHuyu hafai ataharibu nchi
Huyu Jamaa ni mtu hatare sana
Alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Znz wakati wa Dr Shein, alisaliti msimamo wa Serikal akajiunga na Upinzani Bungeni hadi akafutwa Kazi!
Bora kuwa gaidi kuliko kuwa gasho km wwNi gaidi![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alishawahi kufukuzwa bungeni mara kadhaa!
View attachment 1714738
Ni kweli ,ila kuna kipindi Seif alianza kuyumba akakosa pakushika.
Miaka ya tisini kuja 2000,alikua akidai mamlaka kamili,akaja serikali ya mkataba,mwishoni apa akaja na madai ya serikali tatu.
Mmmhhh. Acha visa mkuuMbona huo mshale umeupeleka,mpaka kwenye suluari hapo pametuna
StupidHuyu hafai ataharibu nchi
Watu wameropoka Sana tangu juzi kwamba jamaa Ni radical Sana,na ameteuliwa na kupitishwa huyo huyo.Huyo siyo jihadist kweli.
Anaapishwa kesho. Nchi Unamaanisha nyumbani kwenu au.Huyu hafai ataharibu nchi
Hamna kitu km hicho.hisia tu zinakuendesha.CCM ni hatari sana, yaani huyu jamaa walimuandaa toka bunge la Katiba aonekane kabisa ndio chaguo sahihi kwa Zanzibar