Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ingia mtaani kwa wenye nchi uongee huo ugoro wako uone ka na wewe hujawafuata hao.
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Pamoja na mapungufu yake, lakini kuna baadhi ya maeneo alifanya vema. Si jambo jema kudhani kwamba Magufuli alikuwa mbaya kwa 100%.

Kila binadamu ana mazuri na mabaya yake. Ni viwango tu vinatofautiana. Wengine mabaya yao yanakuwa mengi kuliko mazuri, na wengine mazuri yanakuwa mengi kuliko mabaya. Wengine wanakuwa nusu kwa nusu; Mabaya nusu na mazuri nusu.
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ndio maana amesema anatakiwa apatikane MTU mwingine siku za usoni ambaye atakuwa jasiri kama Magufuli lakini atakuwa anaongoza nchi kupitia mifumo imara itakayokuwa imewekwa na katiba mpya !! Sio kumtegemea MTU jasiri aendeshe nchi kwa matakwa yake binafsi !! Mimi nimemuelewa hivyo !!
 
Ujasiri wa Magufuli ni kumwaga damu za Wazanzibari

Human Rights Watch research has found that at least 14 people died and 55 were injured, as police, soldiers, and armed men in civilian clothes teargassed and shot at crowds, between October 26 and 30, 2020. The armed men also arbitrarily arrested, detained, and tortured opposition supporters on Zanzibar’s main islands of Unguja and Pemba. Neither the Tanzanian central authorities nor Zanzibari authorities have acknowledged, let alone investigated, the full scale and toll of the violence, despite a public outcry within the country, and calls for investigations, including by the United Nations High Commissioner for Human Rights.

 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Na inakupasa uelewe kwamba hizo nchi mnazoziona zikiwa juu kimaendeleo Duniani.

Hazikuanza kwa kuendekeza Demokrasia.

Afrika bila kusukumana mambo hayaendi.

Wengine kupiga kelele nako imegeuka ajira ya kujipatia kipato.

Lissu ni mmojawapo ya hao wanaoabudu kushitaki serikali kwa wazungu kwa kila jambo linaloihusu nchi hii.

Nadhani kama akipata urais, kila maamuzi yataamuliwa na wazungu kwanza.
 
D
Ujasiri wa Magufuli ni kumwaga damu za Wazanzibari



Kama ipo mifumo imara kila kiongozi anawekewa mipaka yake katika utendaji kazi wake sio kwamba anaweza kuamuru chochote anachotaka kifanyike na akakubaliwa ! Lakini kwa katiba yetu hii iliyopo Rais amepewa madaraka makubwa sana ambayo hayahojiwi na taasisi yeyote ile ! Hapo ndipo matatizo yanapoanzia maana hakuna wa kumfunga speed governor !! Kwahiyo kwa katiba hii ya sasa iliyopo akipatikana Rais mkali ujue kweli watu wanaweza wakalimia meno !!
 
Tumeuziwa mabahewa ya mtumba, kiongozi anaona ufahari kwenda kutembeza bakuli ughaibuni
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Huwa si support swalakatiba mpya sana, lakini jinsi alivyoliweka huyu mh. hapo namuunga mkono.
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Kwani lazima amuone kulingana na hisia zako na mawazo yako..una akili huna jomba...kubali mawazo mbadala na hiyo ndio demokrasia
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ewe nguruwe Usitake kulazimisha kila mtu aone vitu jinsi unavyoona wewe.

Wewe kama unaona hayo wenzako wanaona mengine.

Kwani kina Anzory na kina Saanane ndio watu wa kwanza kupotea nchi hii?

Muache aone anavyoona yeye, wewe ona unavyoona wewe. Tusipangiane mitazamo.
 
Jamaa kaanza chokochoko naona kachoka kuwa Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Maana nafuatilia Ziara zake na Jussa wanampiga mawe Dkt Mwinyi kama wao hawako Serikalini
 
Back
Top Bottom