Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Ni haki yake kikatiba
 
Mbona ypo tofauti na mtazamo wa kiongozi wake zitto kabwe kuhus magufuli?Maana yake hakuna maskilizano ndani ya chama, pia hii ni ishara kuwa zitto hajaingia kwenye mioyo ya wanachama wa ACT upande wa visiwani, any way anatafuta nafasi ya Maalim Seif iwe yake,umaarufu wa kiasiasa, huyu 2025 atagombea uraisi huko znz
 
Jamaa kaanza chokochoko naona kachoka kuwa Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Maana nafuatilia Ziara zake na Jussa wanampiga mawe Dkt Mwinyi kama wao hawako Serikalini
Wanasemaga freedom of expression !! Kuwepo katika serikali ya mseto sio fadhila Bali ni takwa la katiba ya Znz, Au Mimi tu ndio sielewi wajameni ?!
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Kweli asali tamu
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ben saanane kupotea rais anahusikaje? Mfano saizi kuna familia ya watu 6 wameuawa, rais samia anahusikaje? Isitoshe wanachama wa Chadema wakiongozwa na Kubenea walisema wanajua Ben alipo.

Watu wasiojulikana ni msemo tu, kwani saizi wanaofanya matukio ya ajabu wote wanajulikana? Ni nani ameua familia ya watu 6 kwa mpigo? Mnawajua?

Ukiacha chuki na njaa za wapigaji, JPM was the best president ever.
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ww kumbe hauna Akili,yule chadema wanae mtafuta hajapatikana vituo vyote vya polisi mpaka wameenda kumfungulia IGP Kesi,nae kapotea utawala wa Magufuli,wamachame mnamatatizo gani kwenye Roho zenu?
 
Dah hata hitler bado anatrend

Kila mtu anatrend kwa Uzuri Na ubaya wake....Hitler alikuwa mtesi kwa mataifa mengine hasa wayahudi...Magufuli kafungua njia Watu kujitambua kama Akina Halima mdee na wenzake,ww huon kwamba hiyo ni hatua kwa Chama chenu cha Nyumbuzi peoples!!!?
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Una kihemuhemu; hujamsikiliza vizuri! Hukubaini Sarcasm katika sentensi hiyo na umaliziaji wake! Kifupi alimaanisha nchi imejifunza umuhimu wa kuwa na "taasisi imara" badala ya strongman au a TYRANT aka dikteta uchwara, na kwa hiyo umuhimu wa katiba mpya ili tufanye vitu kwa mujibu wa sheria wala sio kwa utashi tu wa mtu mmoja!
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Huo ndiyo ukweli ..uwezi kumfananisha jpm na haya mafii ya sa10
 
Mmh.......

Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?

Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?

Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?

Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Hao kazi yao ilikuwa kuua maadui wa uzalendo hivyo mfumo wa wasiojulikana wa magufuli unatakiwa kudumishwe kwa kuwekewa system kabisa ...tofauti na sasa wasiojulikana wanateketeza wazalendo
 
Back
Top Bottom