Ushaambiwa ingia mtaani useme hayo manaeno,Wenye nchi ndio watu gani? Hiyo misukule magu aliyokuwa akiihadaa na fix zake?
Watafanya nini? Samia ka reverse sera zake nyingi za kifala watamfanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaambiwa ingia mtaani useme hayo manaeno,Wenye nchi ndio watu gani? Hiyo misukule magu aliyokuwa akiihadaa na fix zake?
Watafanya nini? Samia ka reverse sera zake nyingi za kifala watamfanya nini?
Ni haki yake kikatibaAkihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Kwani nipo wapi sasa hivi? Nipo mtaani na ninamponda kama mtu akileta Shobo.. Nani wa kunifanyia vurugu?Ushaambiwa ingia mtaani useme hayo manaeno,
😅😅 Kama inakuuma sana nenda Chato kajifukie, ila ndio ishatoka hiyoAma kweli nyumbu ni nyumbu tu, wawe Serengeti au Masai Mara bado ni nyumbu tu!
Duh !! Jiwe gizani !!Kuna Rais gani wa Tanzania ambae hajawahi kumwaga damu za wazanzibar?
Ndio maana ya freedom of expression !! Hakuna chochote cha ajabu hapo vinginevyo itolewe amri kwamba mawazo mbadala ni marufuku !!Hata mie nimeshangaa
Hata yeye mwenyewe alijua atajadiliwa sana na ndio maana alikuwa akisema mtanikumbuka kwa yale mazuri ninayoyafanya !!Magufuli ataendelea kujadiliwa kwa muda mrefu sana.
Wanasemaga freedom of expression !! Kuwepo katika serikali ya mseto sio fadhila Bali ni takwa la katiba ya Znz, Au Mimi tu ndio sielewi wajameni ?!Jamaa kaanza chokochoko naona kachoka kuwa Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Maana nafuatilia Ziara zake na Jussa wanampiga mawe Dkt Mwinyi kama wao hawako Serikalini
Kweli asali tamuMmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ben saanane kupotea rais anahusikaje? Mfano saizi kuna familia ya watu 6 wameuawa, rais samia anahusikaje? Isitoshe wanachama wa Chadema wakiongozwa na Kubenea walisema wanajua Ben alipo.Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ww kumbe hauna Akili,yule chadema wanae mtafuta hajapatikana vituo vyote vya polisi mpaka wameenda kumfungulia IGP Kesi,nae kapotea utawala wa Magufuli,wamachame mnamatatizo gani kwenye Roho zenu?Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Dah hata hitler bado anatrend
Mamako atazikwa chini futi 6, utajua tofauti ya msiba na siasa.Bwana wee! Mm mwenyewe nikeogopa Sana. Nikafungua uzi kwa kasi.ya upepo nidhani dikteta dhalimu limefufuka.
Ashukuriwe Sana Mungu kwa kutwaliwa kwake.
Una kihemuhemu; hujamsikiliza vizuri! Hukubaini Sarcasm katika sentensi hiyo na umaliziaji wake! Kifupi alimaanisha nchi imejifunza umuhimu wa kuwa na "taasisi imara" badala ya strongman au a TYRANT aka dikteta uchwara, na kwa hiyo umuhimu wa katiba mpya ili tufanye vitu kwa mujibu wa sheria wala sio kwa utashi tu wa mtu mmoja!Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Huo ndiyo ukweli ..uwezi kumfananisha jpm na haya mafii ya sa10Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Hao kazi yao ilikuwa kuua maadui wa uzalendo hivyo mfumo wa wasiojulikana wa magufuli unatakiwa kudumishwe kwa kuwekewa system kabisa ...tofauti na sasa wasiojulikana wanateketeza wazalendoMmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Jpm alisifiwa toka akiwa waziri na raisSamia nae atasifiwa tu siku ikifika
Akiwa Rais alisifiwa na chawa tu ,wote wamesambaratika,hata malaika wamemkana anaungua moto kuzimuJpm alisifiwa toka akiwa waziri na rais