Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Ben saanane kupotea rais anahusikaje? Mfano saizi kuna familia ya watu 6 wameuawa, rais samia anahusikaje? Isitoshe wanachama wa Chadema wakiongozwa na Kubenea walisema wanajua Ben alipo.

Watu wasiojulikana ni msemo tu, kwani saizi wanaofanya matukio ya ajabu wote wanajulikana? Ni nani ameua familia ya watu 6 kwa mpigo? Mnawajua?

Ukiacha chuki na njaa za wapigaji, JPM was the best president ever.
Kifo cha watu 6 Kigoma ni tofauti sana kile kifo kimetokana na madaiano lakini kifo cha Ben Saanane ni cha kisiasa chini ya dhalimu mwendazake
 
Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Yaani umeandika UPUMBAVU mtupu
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Its a matter of comparison, Magu ni bora kuliko Mama licha ya madhaifu yake lakini tulihitaj Mtu bora zaid ya Magu.
Tatzo siyo Magu/Samia tatizo ni Mfumo unaomweka Magu/Samia madarakan.
Hutopata Bikra kamwe ndani ya Wodi ya Wazazi.
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Very clever learned brother! Hajamfagilia jiwe, amesema kuwa kwa ujasiri ule ungekuwa ndani ya mfumo mzuri wa kisheria na kikatiba tungefika mbali.
Nami nasema kama kungekuwa na katiba mpya na yule bwana akafuata katiba hiyo. Hatujakuwa na Putin wa Africa ila Magufuli. Interest za watanzania zilikuwa moyoni mwake.
 
Ben saanane kupotea rais anahusikaje? Mfano saizi kuna familia ya watu 6 wameuawa, rais samia anahusikaje? Isitoshe wanachama wa Chadema wakiongozwa na Kubenea walisema wanajua Ben alipo.

Watu wasiojulikana ni msemo tu, kwani saizi wanaofanya matukio ya ajabu wote wanajulikana? Ni nani ameua familia ya watu 6 kwa mpigo? Mnawajua?

Ukiacha chuki na njaa za wapigaji, JPM was the best president ever.
Hivi kwanini mtu akifa ananafikiwa hivi, Hata Mama akila kona mtampa Penalt tu.

Hata wewe ukifa Utasifiwa humu jf.
 
Kamfukue ili uzidi kukiri kuwa ni kiongozi bora
Kwakweli sijahi kufall in love na Viongozi,, Nashangaaga hawa watu wenye mahaba na viongozi badala walilie mfumo utakaodumu milele.
Ukimlilia magu atakuja ataenda ukimlilia lisu atakuja ataenda bado haitosaidia kwa vizqzi vijavyo cha msingi ni Katiba inayomlazimu Kiongoz kutenda sawa na Matakwa na Haki ya Wananchi kwa Masrah ya Taifa zima.

Utakuta mtu anamwabudu Nyerere mwingine Magufuli hujui binadamu ni upepo.
 
Una kihemuhemu; hujamsikiliza vizuri! Hukubaini Sarcasm katika sentensi hiyo na umaliziaji wake! Kifupi alimaanisha nchi imejifunza umuhimu wa kuwa na "taasisi imara" badala ya strongman au a TYRANT aka dikteta uchwara, na kwa hiyo umuhimu wa katiba mpya ili tufanye vitu kwa mujibu wa sheria wala sio kwa utashi tu wa mtu mmoja!
Mbona ww ndio umeenda Chaka sana kwa sababu haya unayosema mimi sikuyasikia akisema bila shaka umepachika utashi wako binafsi labda kama kuna mtu alisikiliza pia atusaidie eti haya aliyosema huyu ndugu mliyasikia siku Ile?
 
Punguzeni matusi jamani hili ni jukwaa la great thinkers sio great tukanazi
Uko sahihi lakini vijana wenu wamezidi,hatuwezi fanana mawazo na tabia hata siku moja,wanachofanya ccm kwa chadema kwenye nchi inayoheshimu mfumo wao wa nchi je sahihi?
 
Tofauti ya Hitler na Mzee baba JPM ni kubwa sana, JPM anatrend kwa sifa kubwa mtaani ila nyie wa mitandaoni ni wachache mno.
Sasa ona Mmeanza mpaka kucompare Majitu na vijitu[emoji849]
 
Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ktk issue ya kujenga izo mambo ni minor cases
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Ujasiri ni mzuri ila bila akili,hekima na busara unakuwa ni disaster, pengine ndio maana anasema inahitajika mifumo👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220628-202202.png
    Screenshot_20220628-202202.png
    63.9 KB · Views: 2
Zidumu fikra za Magufuli. Mafisadi ya JF yanashangilia kifo chake kila Mara yanapoona andiko linalomhusu Mwana mtukuka JPM wa Africa.
 
Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.

Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.

Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Tafsiri yake, CHUMA kimelala na kipumzike kwa Amani kwa sababu kazi zake zinaishi.
 
Punguzeni matusi jamani hili ni jukwaa la great thinkers sio great tukanazi
You're right mkuu tatizo vijana wana mihemko mikubwa hawajui kuna wazee humu tulishatoka kwenye foolish age yao.

Kuna time tukikaa kimya wanajisahau so, tunawapa lugha ya staha waone ilikuwaje, wanapofungua midomo yao yenye harufu mbaya.
 
Back
Top Bottom