Mi sio nyumbu ila jpm alikuwa fashisti na dikteta muuaji,Mungu fundi katuondolea balaaKila mtu anatrend kwa Uzuri Na ubaya wake....Hitler alikuwa mtesi kwa mataifa mengine hasa wayahudi...Magufuli kafungua njia Watu kujitambua kama Akina Halima mdee na wenzake,ww huon kwamba hiyo ni hatua kwa Chama chenu cha Nyumbuzi peoples!!!?