Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Ingia mtaani kwa wenye nchi uongee huo ugoro wako uone ka na wewe hujawafuata hao.Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Pamoja na mapungufu yake, lakini kuna baadhi ya maeneo alifanya vema. Si jambo jema kudhani kwamba Magufuli alikuwa mbaya kwa 100%.Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ndio maana amesema anatakiwa apatikane MTU mwingine siku za usoni ambaye atakuwa jasiri kama Magufuli lakini atakuwa anaongoza nchi kupitia mifumo imara itakayokuwa imewekwa na katiba mpya !! Sio kumtegemea MTU jasiri aendeshe nchi kwa matakwa yake binafsi !! Mimi nimemuelewa hivyo !!Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Human Rights Watch research has found that at least 14 people died and 55 were injured, as police, soldiers, and armed men in civilian clothes teargassed and shot at crowds, between October 26 and 30, 2020. The armed men also arbitrarily arrested, detained, and tortured opposition supporters on Zanzibar’s main islands of Unguja and Pemba. Neither the Tanzanian central authorities nor Zanzibari authorities have acknowledged, let alone investigated, the full scale and toll of the violence, despite a public outcry within the country, and calls for investigations, including by the United Nations High Commissioner for Human Rights.
Chama gani hicho mkuu ungetuwekea hapa ili wadau wakijueTafsiri yake ni kwamba hiki chama wanafikiri nje ya box ukilinganisha na kile chama kingine ambacho uwezo wao wa kufikiri ni kama hawa 👇View attachment 2281059
Kwamba ndugu Othman masud alikusudia ujasiri huo kweli?Ujasiri wa Magufuli ni kumwaga damu za Wazanzibari
Tanzania: No Justice for Zanzibar Election Violence
The Tanzanian government has not held security forces and aligned militia accountable for killings in Zanzibar during the 2020 elections, Human Rights watch said today.www.hrw.org
Na inakupasa uelewe kwamba hizo nchi mnazoziona zikiwa juu kimaendeleo Duniani.Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Wenye nchi ndio watu gani? Hiyo misukule magu aliyokuwa akiihadaa na fix zake?Ingia mtaani kwa wenye nchi uongee huo ugoro wako uone ka na wewe hujawafuata hao.
Kama ipo mifumo imara kila kiongozi anawekewa mipaka yake katika utendaji kazi wake sio kwamba anaweza kuamuru chochote anachotaka kifanyike na akakubaliwa ! Lakini kwa katiba yetu hii iliyopo Rais amepewa madaraka makubwa sana ambayo hayahojiwi na taasisi yeyote ile ! Hapo ndipo matatizo yanapoanzia maana hakuna wa kumfunga speed governor !! Kwahiyo kwa katiba hii ya sasa iliyopo akipatikana Rais mkali ujue kweli watu wanaweza wakalimia meno !!Ujasiri wa Magufuli ni kumwaga damu za Wazanzibari
Tanzania: No Justice for Zanzibar Election Violence
The Tanzanian government has not held security forces and aligned militia accountable for killings in Zanzibar during the 2020 elections, Human Rights watch said today.www.hrw.org
Semeni msemavyo ila msije kukimbia na Mabox ya Kura tu.Tafsiri yake ni kwamba hiki chama wanafikiri nje ya box ukilinganisha na kile chama kingine ambacho uwezo wao wa kufikiri ni kama hawa 👇View attachment 2281059
Hata mie nimeshangaaKwamba ndugu Othman masud alikusudia ujasiri huo kweli?
Huwa si support swalakatiba mpya sana, lakini jinsi alivyoliweka huyu mh. hapo namuunga mkono.Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Kwani lazima amuone kulingana na hisia zako na mawazo yako..una akili huna jomba...kubali mawazo mbadala na hiyo ndio demokrasiaMmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Ewe nguruwe Usitake kulazimisha kila mtu aone vitu jinsi unavyoona wewe.Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Kuna Rais gani wa Tanzania ambae hajawahi kumwaga damu za wazanzibar?Ujasiri wa Magufuli ni kumwaga damu za Wazanzibari
Tanzania: No Justice for Zanzibar Election Violence
The Tanzanian government has not held security forces and aligned militia accountable for killings in Zanzibar during the 2020 elections, Human Rights watch said today.www.hrw.org