Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

Kila mtu anatrend kwa Uzuri Na ubaya wake....Hitler alikuwa mtesi kwa mataifa mengine hasa wayahudi...Magufuli kafungua njia Watu kujitambua kama Akina Halima mdee na wenzake,ww huon kwamba hiyo ni hatua kwa Chama chenu cha Nyumbuzi peoples!!!?
Mi sio nyumbu ila jpm alikuwa fashisti na dikteta muuaji,Mungu fundi katuondolea balaa
 
Ao wasiojulikana walikuwepo kabla ya Magu na wataendelea kuwepo mpk kesho, Kuminya Demokrasia kwani sasahivi mmeipata? Watu mlikuwa mkifanya mikutano lazima usikie kuna mabomu hamelipuka au kifo cha mwandishi wa habari!

Tunaitaji fikra pevu katika taifa letu hasa la viongozi wetu wa kisiasa, tunaitaji watu ambao kweli wameshiba itikadi za vyama vyao na maslah ya nchi zao kuliko maslah yao binafsi.
 
Sifa moja ya Mtanzania ni kumpenda sana Marehemu.
Halafu pia na kumsifia sana aliyestaafu.
Si unaona wengine wanamponda Samia, akimaliza muda wake watamsifia.
Ukiwa raisi wa TZ inabidi uwe kama JK hata usijali sana wanachosema maana hata wenyewe hatujielewi tunataka nini
 
kipindi cha Magufuli angebwabwaja hayo anayoyaleta leo? Kulikuwa na SUK? Hana lingine zaidi ya chochoko hawazaoea amani, mioyo yao haina amani
 
Amepata ulaji wa mbeleko chini ya Magufuri
 
Kwa nini mmeshindwa kumshughulikia kisheria badala yake mnataka kumuua kwa risasi.
 
Kama uliwahi kusoma neno kinyume kwahiyo mh Othmani hapo kaongea kinyume chake huyo ni mzanzibar na unawajua wa Zanzibar kwa mafumbo hilo ni fumbo lifumbue maaana utajua alicho kusudia

Huyu jamaa wala haelewi alichokuwa anasema Othman. Hapo ndio huwa ninajua kuwa watu wengi wana uwezo mdogo wa kuelewa mantiki ya mtu.
 
Kama kutokujali demokrasia ndio kunafanya uwe na maendeleo, basi Afrika ilipaswa kuwa yenye maendeleo makubwa, maana huku demokrasia ni ndogo sana.

Halafu inaonekana kwako serikali ndio nchi. Kuna tofauti kubwa sana kati ya nchi na serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…