Mi sio nyumbu ila jpm alikuwa fashisti na dikteta muuaji,Mungu fundi katuondolea balaaKila mtu anatrend kwa Uzuri Na ubaya wake....Hitler alikuwa mtesi kwa mataifa mengine hasa wayahudi...Magufuli kafungua njia Watu kujitambua kama Akina Halima mdee na wenzake,ww huon kwamba hiyo ni hatua kwa Chama chenu cha Nyumbuzi peoples!!!?
Kwani wewe umeshaenda ukutani kuungana na yule jamaa yenu huko ubeleji ili mkashikishwe wote?😅😅 Kama inakuuma sana nenda Chato kajifukie, ila ndio ishatoka hiyo
Hilo tusi wala halina hata ukubwa wowote, tunga tena lingine, hilo limechuja...ila kichaa tushamzikaKwani wewe umeshaenda ukutani kuungana na yule jamaa yenu huko ubeleji ili mkashikishwe wote?
Ao wasiojulikana walikuwepo kabla ya Magu na wataendelea kuwepo mpk kesho, Kuminya Demokrasia kwani sasahivi mmeipata? Watu mlikuwa mkifanya mikutano lazima usikie kuna mabomu hamelipuka au kifo cha mwandishi wa habari!Mmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Kichaa bado yuko hai, anashikishwa ukuta huko ubeberuniHilo tusi wala halina hata ukubwa wowote, tunga tena lingine, hilo limechuja...ila kichaa tushamzika
Kichaa analiwa na funza Chato, kabakisha fuvu...nyumbu wake wamesambaratika hawajui la kufanyaKichaa bado yuko hai, anashikishwa ukuta huko ubeberuni
Sifa moja ya Mtanzania ni kumpenda sana Marehemu.Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Weka basi nakala ya utafiti uliofanyaIngia mtaani kwa wenye nchi uongee huo ugoro wako uone ka na wewe hujawafuata hao.
kipindi cha Magufuli angebwabwaja hayo anayoyaleta leo? Kulikuwa na SUK? Hana lingine zaidi ya chochoko hawazaoea amani, mioyo yao haina amaniAkihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Na hawa jee?Tafsiri yake ni kwamba hiki chama wanafikiri nje ya box ukilinganisha na kile chama kingine ambacho uwezo wao wa kufikiri ni kama hawa 👇View attachment 2281059
MaigizoAkiwa Rais alisifiwa na chawa tu ,wote wamesambaratika,hata malaika wamemkana anaungua moto kuzimu
Amepata ulaji wa mbeleko chini ya MagufuriAkihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Kamfukue ili uzidi kukiri kuwa ni kiongozi boraKila ndimi itakili kuwa JPM ndiye kiongozi halisi na mpenda maendeleo ya nchi na watu wake.
Achana na hawa walamba asali.
#MaendeleoHayanaChama
Raha ya milele au mateso.Raha ya milele umpe e Bwana mpendwa wetu Magufuli, amen!
Labda Sukuma gang na chama cha majizi(ccm)Zaidi ya Watanzania 95% walikua wanamkubali JPM.
Kwa nini mmeshindwa kumshughulikia kisheria badala yake mnataka kumuua kwa risasi.Na inakupasa uelewe kwamba hizo nchi mnazoziona zikiwa juu kimaendeleo Duniani.
Hazikuanza kwa kuendekeza Demokrasia.
Afrika bila kusukumana mambo hayaendi.
Wengine kupiga kelele nako imegeuka ajira ya kujipatia kipato.
Lissu ni mmojawapo ya hao wanaoabudu kushitaki serikali kwa wazungu kwa kila jambo linaloihusu nchi hii.
Nadhani kama akipata urais, kila maamuzi yataamuliwa na wazungu kwanza.
Kama uliwahi kusoma neno kinyume kwahiyo mh Othmani hapo kaongea kinyume chake huyo ni mzanzibar na unawajua wa Zanzibar kwa mafumbo hilo ni fumbo lifumbue maaana utajua alicho kusudia
Kama kutokujali demokrasia ndio kunafanya uwe na maendeleo, basi Afrika ilipaswa kuwa yenye maendeleo makubwa, maana huku demokrasia ni ndogo sana.Na inakupasa uelewe kwamba hizo nchi mnazoziona zikiwa juu kimaendeleo Duniani.
Hazikuanza kwa kuendekeza Demokrasia.
Afrika bila kusukumana mambo hayaendi.
Wengine kupiga kelele nako imegeuka ajira ya kujipatia kipato.
Lissu ni mmojawapo ya hao wanaoabudu kushitaki serikali kwa wazungu kwa kila jambo linaloihusu nchi hii.
Nadhani kama akipata urais, kila maamuzi yataamuliwa na wazungu kwanza.