WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kifo cha watu 6 Kigoma ni tofauti sana kile kifo kimetokana na madaiano lakini kifo cha Ben Saanane ni cha kisiasa chini ya dhalimu mwendazakeBen saanane kupotea rais anahusikaje? Mfano saizi kuna familia ya watu 6 wameuawa, rais samia anahusikaje? Isitoshe wanachama wa Chadema wakiongozwa na Kubenea walisema wanajua Ben alipo.
Watu wasiojulikana ni msemo tu, kwani saizi wanaofanya matukio ya ajabu wote wanajulikana? Ni nani ameua familia ya watu 6 kwa mpigo? Mnawajua?
Ukiacha chuki na njaa za wapigaji, JPM was the best president ever.
Yaani umeandika UPUMBAVU mtupuMmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Its a matter of comparison, Magu ni bora kuliko Mama licha ya madhaifu yake lakini tulihitaj Mtu bora zaid ya Magu.Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Very clever learned brother! Hajamfagilia jiwe, amesema kuwa kwa ujasiri ule ungekuwa ndani ya mfumo mzuri wa kisheria na kikatiba tungefika mbali.Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Hivi kwanini mtu akifa ananafikiwa hivi, Hata Mama akila kona mtampa Penalt tu.Ben saanane kupotea rais anahusikaje? Mfano saizi kuna familia ya watu 6 wameuawa, rais samia anahusikaje? Isitoshe wanachama wa Chadema wakiongozwa na Kubenea walisema wanajua Ben alipo.
Watu wasiojulikana ni msemo tu, kwani saizi wanaofanya matukio ya ajabu wote wanajulikana? Ni nani ameua familia ya watu 6 kwa mpigo? Mnawajua?
Ukiacha chuki na njaa za wapigaji, JPM was the best president ever.
Kwakweli sijahi kufall in love na Viongozi,, Nashangaaga hawa watu wenye mahaba na viongozi badala walilie mfumo utakaodumu milele.Kamfukue ili uzidi kukiri kuwa ni kiongozi bora
Mbona ww ndio umeenda Chaka sana kwa sababu haya unayosema mimi sikuyasikia akisema bila shaka umepachika utashi wako binafsi labda kama kuna mtu alisikiliza pia atusaidie eti haya aliyosema huyu ndugu mliyasikia siku Ile?Una kihemuhemu; hujamsikiliza vizuri! Hukubaini Sarcasm katika sentensi hiyo na umaliziaji wake! Kifupi alimaanisha nchi imejifunza umuhimu wa kuwa na "taasisi imara" badala ya strongman au a TYRANT aka dikteta uchwara, na kwa hiyo umuhimu wa katiba mpya ili tufanye vitu kwa mujibu wa sheria wala sio kwa utashi tu wa mtu mmoja!
Punguzeni matusi jamani hili ni jukwaa la great thinkers sio great tukanaziUnarembua macho kama changudoa wa wapi?
Uko sahihi lakini vijana wenu wamezidi,hatuwezi fanana mawazo na tabia hata siku moja,wanachofanya ccm kwa chadema kwenye nchi inayoheshimu mfumo wao wa nchi je sahihi?Punguzeni matusi jamani hili ni jukwaa la great thinkers sio great tukanazi
Afadhali hao wanapeana huduma za kibinadamu
Tofauti ya Hitler na Mzee baba JPM ni kubwa sana, JPM anatrend kwa sifa kubwa mtaani ila nyie wa mitandaoni ni wachache mno.Dah hata hitler bado anatrend
Sasa ona Mmeanza mpaka kucompare Majitu na vijitu[emoji849]Tofauti ya Hitler na Mzee baba JPM ni kubwa sana, JPM anatrend kwa sifa kubwa mtaani ila nyie wa mitandaoni ni wachache mno.
Ktk issue ya kujenga izo mambo ni minor casesMmh.......
Hivi hakuona, namna watu wasiojulikana, walivyoshamiri Katika kipindi hicho cha Mwendazake?
Hivi hakuona namna Demokrasia, ilivyominywa Katika kipindi hicho?
Hivi hakuona namna watu, kama akina Saanane, Azory Gwanda nk, walivyopotea Katika kipindi hicho cha Magu?
Sasa inakuwaje Makamu Mwenyekiti huyo wa SUK wa Zenj, amuone Magu kuwa bora zaidi ya Mama?
Takrima eehAfadhali hao wanapeana huduma za kibinadamu
Ujasiri ni mzuri ila bila akili,hekima na busara unakuwa ni disaster, pengine ndio maana anasema inahitajika mifumo👇Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
Aliyeanza ni mjombako au uliye_reply kwake?.Sasa ona Mmeanza mpaka kucompare Majitu na vijitu[emoji849]
Punguzeni matusi jamani hili ni jukwaa la great thinkers sio great tukanaziAliyeanza ni mjombako au uliye_reply kwake?.
Chagua giza au nuru shwain!.
Tafsiri yake, CHUMA kimelala na kipumzike kwa Amani kwa sababu kazi zake zinaishi.Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua.
Na akashauri tunahitaji Katiba Mpya ili kuwajengea mifumo watu jasiri kama huyu ili haya aliyofanya yafanywe kimfumo na si kumtegemea mtu.
Sijui hii tafsiri yake nini kuhusu hiki chama.!
You're right mkuu tatizo vijana wana mihemko mikubwa hawajui kuna wazee humu tulishatoka kwenye foolish age yao.Punguzeni matusi jamani hili ni jukwaa la great thinkers sio great tukanazi