Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Kuna ka kipande umekaacha, baada ya Pac kupigwa risasi inasemekana akuzimia km ulivyosema alipigwa tu still aliweza kujivuta mpk kufika juu akawakuta wana bahati mbaya baada ya kumpa pole wakaanza kumcheka. Jamaa akaclaim kuwa wao ndo waliplan yeye kupigwa risasi jambo ambalo halikuwa kweli kwan kwa kipindi hiko Pac alikuwaa ashajiunga na kundi fulani la kimafia wale walikuwaa wanarun show km ilivyokuwaa Clouds ya enzi hizo ukiwazingua unapoteaaa.

Kitendo cha kumcheka then Pac aki claim kuwa wana wamemfanyizia basi wana (Biggie na Diddy) wakaingia studio wakatoa ngoma ya "Who Shot Ya" wakimlenga mwamba mule ndani wakanyaaaa mbovuuuuu ukisikiaa ile ngoma hasii ile Studio Version wana wamemdhihakiii mnooo mwamba. Kumbuka PaC nae nyakatii hizoo ndo yuko na lile kundi lake la OUTLAWZ (YAKI KADAFF, E.D.I MEAN, KASTRO, HUSSEIN FATAL, NAPOLEON, MAKAVELI) wakazama studio wakatoaaa "All time Diss trak" "HIT EM UP" mule ndani Pac Amekunya mbovu mpk akamwambia unajiona mwamba ila " You claim to be Player but i Fucked you Wife" ahahaha Yaan https://jamii.app/JFUserGuide and Motherfucker kwenye wimbo mmoja tu zimetajwaa mara 35. Huu wimbo ndo ulikolezaaaaaaa bifuuu maana hakuna jiwe liliachwa Juu ya Jiwe Pac alimchana kilaaa mtuu wengine mpaka personal Life za watu...
Kama Lil Kim
Dropp Mobb huyu aliambiwaa ww una sickle cell
 
Boss kwenye Para ya Kwanza i wish ulikuwa una wa refer.... James Rosemond ("Jimmy Henchman"), na Jacques Agnant ("Haitian Jack") awaa walikuwaa ndo wanarun the Show walikuwa kama wanashikiria Gem ya music wakiwa ma Godfather na Wauza miahadarati lakni wakiwa ni mapromoter wa wakali wa enzi hizo, Wanadaii Pac ni kama aliwazingua ndo wakatuma madogo wakamshikishe adabu, Na pac aliwachana kwenye Hit em Up
 
Yaki Kadafi ambae alimuonaa muuajii ALIPOANZA KUSEMA ATAMTAJA MUUAJI nae akala Chuma
 
Weee koma mpuuzi wewe, Gene Deal hana uhusiano wa damu na Diddy, Lil Cease hana undugu na Biggie, mpaka hapo we ni lofa mmoja tu unaejikuta unataka kujua kisa vi documentary, nimeviangalia vingi sana. Unaropokaropoka tu, eti mamake Biggie aliondoka na Suge, lini? Kwenda wapi? Chizi kweli wewe. Voletta yupo zake New York, Suge yupo Cali. Hujui ata umbali na tofauti yake. Eti walionekana wanaondoka wote, mtu kafungwa anapelekwa na a ton of security guard au unadhani ni bongo hiyo, alafu story za udaku za vijiweni kakae na watoto wenzio uwadanganye.
 
Angalau wewe una facts wengine humu hadi aibu yani, unakuta jitu linaongea kwa confidence uongo. Track aliowachana hadi watu wakaogopa inaitwa against all odds, kwenye Makaveli the Don: killuminati. The 7 day theory.
 
Oyaaa mbona umekasirika?
 
Yaki Kadafi ambae alimuonaa muuajii ALIPOANZA KUSEMA ATAMTAJA MUUAJI nae akala Chuma
Aliemuua Gaddafi ni binamu yake na Napoleon na ulikua ugomvi wa kamari ila baadae alijisalimisha polisi.Gaddafi alienda New Orleans kwenye familia ya akina Napoleon mitaa ya pale kwenye maghorofa ya project fam kama sikosei.
 
Hit em up ukiisikiliza hadi wewe msikilizaji unahisi kutukanwa[emoji1][emoji1]

umesema kweli mkuu. hit em up katukana wote wanaosupport na kusikiliza nyimbo za bad boy hata me nikiwemo maana navoikubali juicy ya big small basi ndo natukanwa daily. Hit em up naikubali basi nakula matusi daily.
 
Hii ndio story ninayoikumbuka mambo ya East coast versus West coast.

BTW Diddy alitajwa sana kuhusika pia.
 
Lil Kim aliguswa coz na yeye alikuwa Junior Mafia under Big na
Mobb deep under Bad Boys.
So if you wanna be down with Bad Boys Fvck you too
All mutherfvcker. F"* you too
 
Wazungu wakishakutumia mwisho wa siku wanakuangushia jumba bovu uhangaike nalo peke yako.

R Kelly ilianza masihara masihara hivi hivi. Leo hii sura nzima ishajaa madevu.

Aiseee noma wakimuingiza kwa 18 watamlostisha sana.
 
Mobb Deep hawajawahi kuwa chini ya lebo ya Bad Boy. Tupac alikuwa na bifu nao wao kama Mobb Deep.
Mdogo wangu usiwe unapenda kujibu kitu Kwa mihemko.
Unawajua Mobb deep in details? Unajua history Yao since kukutana,unajua jina lao kabla ya Mobb deep.
Yaaniutokee NY na uhit bila chochote ku share BB
Em shuka na hii halafu next time sio Kila kitu Cha kujibu beefinjector

However, they were featured in Matty C's July 1991 "Unsigned Hype" column in The Source,[14][17] which helped promote their demo Flavor for the Nonbelievers. The Source dubbed Poetical Prophets a "dynamic duo ... that are fast making a big name for themselves in talent shows and radio stations in the New York area."[17] The following year, the duo changed their name from Poetical Prophets to "Mobb Deep," in part based on the suggestion of Puff Daddy who was courting them to be the first artists on his newly created imprint, Bad Boy Records.[15][18] In choosing the moniker, Prodigy noted that "we need[ed] something that described how we were living. When [we] got together to hang out, there would be thirty to forty of us, like a mob. The slang we used when we saw a whole bunch of guys together was . . . 'deep.' Both words together sounded good. Mobb Deep."[19]
 
Kwanza mi sio mdogo wako. Nina uhakika kama sio Kaka yako basi ni Baba yako mdogo. Mobb Deep nawafahamu vizuri sana. HAWAJAWAHI KUWA CHINI YA BAD BOYS. Hebu soma vizuri hiyo article uliyopost mwenyewe halafu uniambie wapi wamesema kuwa Mobb Deep walisaini Bad Boys.
 
Kwa hyo BB walikuwepo km wakina nani au ukaribu wao na Diddy ulikuwa ni wa nn au ulitokana na nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…