Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Hii si inajulikana kabisa mkuuu sio jipya hii
 
Suge knight pia anahusika sana usimsahau jay z

Namnukuu kanye west 😳😳😳
 
Wangeanza na hao mabinti wangeweza kupata chochote, lakini inaonekana police wanahusika au hawakutaka kufanya uchunguzi wowote wa maana, tukubali hii kesi ubaguzi umechangia sana isichunguzwe vizuri
 
Ubaya suge knight ana cv chafu hela hana na influence hana


Kuna video flani niliona mtandaoni kuwa anadai sijui shs ngapi benki eti pressure na kisukari kikapanda akazimia daah 😅😅😁
 
Suge naye sasa kapigwa miaka 28 ya kutosha na sioni akitoka mapema na ana kesi na maadui mia kidogo wanamsubiri huku nje, Suge amehusishwa na mauaji mengi sana bora akae ndani tuu
Hii ni kweli na ubaya zaidi ni jamaa hana hela mkuuu kuwa apeche alolo alafu maarufu at the same time ni shida kwelikweli mkuuu 😨
 
Asante Kwa ufafanuzi mzuri
 
Wangeanza na hao mabinti wangeweza kupata chochote, lakini inaonekana police wanahusika au hawakutaka kufanya uchunguzi wowote wa maana, tukubali hii kesi ubaguzi umechangia sana isichunguzwe vizuri
Kweli mkuu hii kesi ilipigwa danadana kwa sababu wanazozijua wao.
 
Ubaya suge knight ana cv chafu hela hana na influence hana


Kuna video flani niliona mtandaoni kuwa anadai sijui shs ngapi benki eti pressure na kisukari kikapanda akazimia daah 😅😅😁
Pesa alikuwa nayo, sema wazungu wakiamua kukupukutisha wanakupukutisha kwa kukutengenezea kesi zisizoisha hadi unajikuta umebaki mtupu.
 
Kwa upande wangu naona wazee wa suti nyeusi walifanya yao baada ya kina 2pac na Big kusababisha vijana wa kiamerika hasa weusi kuwa na mienendo isiyofaa na kuuana ovyo. Haiwezekani kitu kidogo tu watu wanatwangana risasi kipuuzi. Vijana wangezidi kuharibika. Kwamba Didy ndo alihusika na mauaji ya BIG ni ngumu kuamini kwasababu BIG alikuwa ni kama ng'ombe wa maziwa kwa Didy kwa maana ya kwamba kupitia BIG huyo Didy alikuwa anapiga hela kwa kumsimamia chini ya label ya BadBoys. Jinsi Didy alivyo mpenda pesa isingekuwa rahisi kumuua mtu ambaye anamtengenezea pesa ndefu. Labda tumsikilize mpwayungu village anaweza kuwa na maoni tofauti.
 
Hahahaaaaa ,jamaa alikuwa ni mdogo ila IQ yake ilikuwa juu mno
 
Suge anakesi zaidi ya 15,na kila inapofika tar huwa anapandishwa mahakamani..
Wakati anafanyiwa escoter ndipo Alionekana akiondoka na mama ake biggie...

Rudi kagoogle tena halafu uje na maelezo yako.
Tafuta documentary za SUGE na 2pac,ndio utanielewa.
sio umesoma udaku TMZ halafu unakuja kupayuka humu
 

Shuge si alishafungwa na akatoka bado ana kesi gan tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…