Walioshupalia jambo la Kelly ni waafrika kuliko hata wazungu!Mbaya zaidi hayo mambo mweusi inaonekana yanafanyika Kwa Waafrika tu, na sio Wazungu
Imagine hali anayopitia R.Kelly kule gerezani.
Yaani wameamua kuharibu carrier yake kabisa ya Muziki na biashara 🙌
Ataponaje na kajipendekeza mwenyewe kwenda kwenye jumba lake? Kaliwa pamoja na yule Mbunge wa Morogoro anayedai ni Meneja wakeUchu ni mbaya sana, sijui kama Diamond kapona
Ulaya hakuna ukimwi mdogo Angu.😛😛😛Hivi Did aogopi ukimwi au kawaka tayal
Jidanganye nimeishi Finland miezi mitatu ukimwi upo na wazungu wengi kule wana magoviUlaya hakuna ukimwi mdogo Angu.😛😛😛
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jidanganye nimeishi Finland miezi mitatu ukimwi upo na wazungu wengi kule wana magovi
Mbona kuna clip huyo Diamond anakiri mwenyewe alikwenda kwa Diddy, walifanya mambo mengi ila hawezi kuya post. Mwambie kwanza ayapost ndiyo uje utulaumuHiki kinachoendelea hapa ni Character Assassination.
Mnazungumza mambo ambayo hakuna mmoja wenu aliyeweza kuyashuhudia Kwa macho na akathibitisha isipokuwa hearsays
Sidhani kama ni afya kujaribu kuharibu image ya mtu ambayo ametumia muda mrefu na Fedha nyingi kuijenga hasa Wasanii wetu wa Bongo 🙌
Jidanganye nimeishi Finland miezi mitatu ukimwi upo na wazungu wengi kule wana magovi
Akipost basata watamkamata yeye na huyo Did wakeMbona kuna clip huyo Diamond anakiri mwenyewe alikwenda kwa Diddy, walifanya mambo mengi ila hawezi kuya post. Mwambie kwanza ayapost ndiyo uje utulaumu
Dunia nzima waliotahiriwa ni 1/3 tu. Haya mambo mnayakuza tu wala hayana nafasi kwenye tendo la kujamiiana.Hapo kwenye magovi ndo huwa nachoka.... Kwanini hawataki kutahiliwa hawa majamaaa. Imagine bongo uende na dem then utoe mashine ina govi. Hivi atakupa mzigo? Na akikupa atarudia tena? Vipi matangazo mtaani? Na mkikosana nae je matusi ya hapo. Mmmhhhh ngumu kumeza
"nikiwa marekani kwa diddy ni kama nyumbani , hua tunafanya vitu vingisana ambavyo havipostik... " (Diamond platnumz 2023)Ila didy? Kweli akaona atubandulie staa wetu??? 🤨
Kwahiyo aliposema mambo mengi mengine hawezi kuyataja ndiyo muhitimishe kwamba jamaa alivuliwa Ubingwa? 😅🙌Mbona kuna clip huyo Diamond anakiri mwenyewe alikwenda kwa Diddy, walifanya mambo mengi ila hawezi kuya post. Mwambie kwanza ayapost ndiyo uje utulaumu
Didy mshenzi kamla staa wetu 🥹"nikiwa marekani kwa diddy ni kama nyumbani , hua tunafanya vitu vingisana ambavyo havipostik... " (Diamond platnumz 2023)
Saivi jamaa anazeekea gerezani pamoja na kipaji chake kikubwa cha Muziki 🙌Walioshupalia jambo la Kelly ni waafrika kuliko hata wazungu!
Ila kitu kizuri ni kwamba bado mpaka gerezani jamaa anapendwa sana na watu!Saivi jamaa anazeekea gerezani pamoja na kipaji chake kikubwa cha Muziki 🙌
kiboga kishaliwaAtaponaje na kajipendekeza mwenyewe kwenda kwenye jumba lake? Kaliwa pamoja na yule Mbunge wa Morogoro anayedai ni Meneja wake
Hapo ulipoanza na neno "LABDA" ndiyo penye upenyo aloutumia Diddy kwenye mambo yakeLabda hayo mambo mengine ilikuwa mambo ya biashara na Uwekezaji, so hakutaka kuyaweka wazi kwasababu ya kikibiashara.
😅😅😅🙌Hapo ulipoanza na neno "LABDA" ndiyo penye upenyo aloutumia Diddy kwenye mambo yake