P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Hiki kinachoendelea hapa ni Character Assassination.

Mnazungumza mambo ambayo hakuna mmoja wenu aliyeweza kuyashuhudia Kwa macho na akathibitisha isipokuwa hearsays

Sidhani kama ni afya kujaribu kuharibu image ya mtu ambayo ametumia muda mrefu na Fedha nyingi kuijenga hasa Wasanii wetu wa Bongo 🙌
Mbona kuna clip huyo Diamond anakiri mwenyewe alikwenda kwa Diddy, walifanya mambo mengi ila hawezi kuya post. Mwambie kwanza ayapost ndiyo uje utulaumu
 
Jidanganye nimeishi Finland miezi mitatu ukimwi upo na wazungu wengi kule wana magovi
Hapo kwenye magovi ndo huwa nachoka.... Kwanini hawataki kutahiliwa hawa majamaaa. Imagine bongo uende na dem then utoe mashine ina govi. Hivi atakupa mzigo? Na akikupa atarudia tena? Vipi matangazo mtaani? Na mkikosana nae je matusi ya hapo. Mmmhhhh ngumu kumeza
 
Hapo kwenye magovi ndo huwa nachoka.... Kwanini hawataki kutahiliwa hawa majamaaa. Imagine bongo uende na dem then utoe mashine ina govi. Hivi atakupa mzigo? Na akikupa atarudia tena? Vipi matangazo mtaani? Na mkikosana nae je matusi ya hapo. Mmmhhhh ngumu kumeza
Dunia nzima waliotahiriwa ni 1/3 tu. Haya mambo mnayakuza tu wala hayana nafasi kwenye tendo la kujamiiana.
Screenshot_20240412_105529_Chrome.jpg
 
Mbona kuna clip huyo Diamond anakiri mwenyewe alikwenda kwa Diddy, walifanya mambo mengi ila hawezi kuya post. Mwambie kwanza ayapost ndiyo uje utulaumu
Kwahiyo aliposema mambo mengi mengine hawezi kuyataja ndiyo muhitimishe kwamba jamaa alivuliwa Ubingwa? 😅🙌

Labda hayo mambo mengine ilikuwa mambo ya biashara na Uwekezaji, so hakutaka kuyaweka wazi kwasababu ya kibiashara.
 
wewe si ulikuwa unajiita girles mwenye matakoo menso🤣?

unabahati kwenye hiki kimtandao jamáa hayupo ila angeshaa kubandua🤣🤣🤣

girles mwenye matakoo mnesooo🤣🤣🤣nawahuni tulikua tunakuja kutupia swaga nahela zetu unakula
 
Back
Top Bottom