P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

🚨

Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya mahojiano yake (crip) anaweka wazi kuwa hamu yake ya kufanya mapenzi huwa haichagui mwanamke au mwanaume bali itategemea na mood na vibe atakayokuwa nayo wakati huo.

Alafu anaulizwa kama ameshmbandua Meek Meel ambaye ni producer wa kiume anajibu kuwa hilo hawezi kulisema kama ni kweli au si kweli.

Malalamiko ya huyo producer ni kwamba aliliwa kiboga na Didy ili asaidiwe kupata tuzo ya Grammy ya producer bora wa mwaka.

Yaani yeye alikuwa ana exchange matako ya mtu na heshima unayoitaka. Dah! Alafu huyu jamaa alikuwa karibu sana na Burna Boy wa Nigeria na ndiyo aliyemsaidia kupata tuzo mbalimbali kubwa za kimataifa.

Hili suala limenishtua sana na sasa ndiyo najua hata wasanii wetu wa Afrika ikiwemo hawa wa Tanzania ambao hadi wanapigiana video call na Rick Ross kuna siri nyingi sana nyuma yao zinazowafikisha hapo ambapo wakati ukifika itagundulika tu.

Napata shaka sana juu ya mond kama hajabanduliwa na huyu filauni sababu nimemuona yeye na mameneja wake wakieleza waliwahi fika nyumbani kwa Didy

Nilichojifunza ni kwamba dunia imeharibika sana hivyo siyo busara kutamani mafanikio ya mtu maana kuna wengine wameyapata kwa gharama ya kuudhalilisha utu wao aisee🤔🤔

Vijana wenzangu turidhike na maisha yetu aliyotujaalia Mwenyezi Mungu kwani shetani siyo mwema ki hivyo hadi akupe maisha mazuri bure bure.
Jambo moja ambalo hujalitaja jamaa akiwabandua wenzake lazima awarecord, na hizo video zinatumika kuwa blackmail hao mastaa wafuate matakwa ya Wakubwa.

Inshort ambao wapo nyuma ya Pdidy ni wakubwa wasiogusika.
 
1000049499.jpg
jama hiyo picha yake ya kulia ni mnyama mnyama flani hivi kabisa,
 
Mhanga mkubwa atakua ni Usher Raymond ambae alikua mdogo almost 13 years alivyokutana na Diddy ... jamaa kasoma shule za Boys za kiseminary (Code) ? anyway Ukipata hela shida...ukikosa hela shida..sasa kwa hela za Didy kuna manzi alikua anaweza kumkataa ? Yeye ilikua nikupangilia maneno na vitendo tu, akitokea exceptional one akakataa si una move on to the next target... ona sasa anaenda kuliwa kiboga jela kama Mwenzake R.Kelly
 
Kabisa yule jamaa kapitia life flan nyuma inaonekana la kihuni sana, japo muonekano ndo huez muhis kabisa
Mtoto wa Harlem New York huyo , mitaa ya wahuni wa mjini pale US
Yaani ni kama kibongo Bongo uzaliwe keko na mitaa ya wahuni kama hiyo
 
🚨

Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya mahojiano yake (crip) anaweka wazi kuwa hamu yake ya kufanya mapenzi huwa haichagui mwanamke au mwanaume bali itategemea na mood na vibe atakayokuwa nayo wakati huo.

Alafu anaulizwa kama ameshmbandua Meek Meel ambaye ni producer wa kiume anajibu kuwa hilo hawezi kulisema kama ni kweli au si kweli.

Malalamiko ya huyo producer ni kwamba aliliwa kiboga na Didy ili asaidiwe kupata tuzo ya Grammy ya producer bora wa mwaka.

Yaani yeye alikuwa ana exchange matako ya mtu na heshima unayoitaka. Dah! Alafu huyu jamaa alikuwa karibu sana na Burna Boy wa Nigeria na ndiyo aliyemsaidia kupata tuzo mbalimbali kubwa za kimataifa.

Hili suala limenishtua sana na sasa ndiyo najua hata wasanii wetu wa Afrika ikiwemo hawa wa Tanzania ambao hadi wanapigiana video call na Rick Ross kuna siri nyingi sana nyuma yao zinazowafikisha hapo ambapo wakati ukifika itagundulika tu.

Napata shaka sana juu ya mond kama hajabanduliwa na huyu filauni sababu nimemuona yeye na mameneja wake wakieleza waliwahi fika nyumbani kwa Didy

Nilichojifunza ni kwamba dunia imeharibika sana hivyo siyo busara kutamani mafanikio ya mtu maana kuna wengine wameyapata kwa gharama ya kuudhalilisha utu wao aisee🤔🤔

Vijana wenzangu turidhike na maisha yetu aliyotujaalia Mwenyezi Mungu kwani shetani siyo mwema ki hivyo hadi akupe maisha mazuri bure bure.
Si busara kuitikia mwito wa baadhi ya watu ambao huwajui vizuri.Unaingia kwenye jumba ambalo milango inajifunga na kujifungua kwa rimoti na kuna vichochoro mpaka kwenye vyumba vya kufanya ushenzi.Unakwenda tu bila kutaka na unashindwa kutoka.
 
Huu upuuzi uliouandika hapa ama kwa kujifurahisha au kwa chuki juu ya vijana wenzio waliokuzidi maisha utakuja kukucost kwenye maisha yako aidha kwa kujua au kwa kutokujua.... chunga sana
Vipi uliwakilisha wenzako kutoka Tanzania Tanzania kwenye msiba wa Brian Chira?
 
🚨

Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya mahojiano yake (crip) anaweka wazi kuwa hamu yake ya kufanya mapenzi huwa haichagui mwanamke au mwanaume bali itategemea na mood na vibe atakayokuwa nayo wakati huo.

Alafu anaulizwa kama ameshmbandua Meek Meel ambaye ni producer wa kiume anajibu kuwa hilo hawezi kulisema kama ni kweli au si kweli.

Malalamiko ya huyo producer ni kwamba aliliwa kiboga na Didy ili asaidiwe kupata tuzo ya Grammy ya producer bora wa mwaka.

Yaani yeye alikuwa ana exchange matako ya mtu na heshima unayoitaka. Dah! Alafu huyu jamaa alikuwa karibu sana na Burna Boy wa Nigeria na ndiyo aliyemsaidia kupata tuzo mbalimbali kubwa za kimataifa.

Hili suala limenishtua sana na sasa ndiyo najua hata wasanii wetu wa Afrika ikiwemo hawa wa Tanzania ambao hadi wanapigiana video call na Rick Ross kuna siri nyingi sana nyuma yao zinazowafikisha hapo ambapo wakati ukifika itagundulika tu.

Napata shaka sana juu ya mond kama hajabanduliwa na huyu filauni sababu nimemuona yeye na mameneja wake wakieleza waliwahi fika nyumbani kwa Didy

Nilichojifunza ni kwamba dunia imeharibika sana hivyo siyo busara kutamani mafanikio ya mtu maana kuna wengine wameyapata kwa gharama ya kuudhalilisha utu wao aisee🤔🤔

Vijana wenzangu turidhike na maisha yetu aliyotujaalia Mwenyezi Mungu kwani shetani siyo mwema ki hivyo hadi akupe maisha mazuri bure bure.
Mbona nasikiaga eti hata baadhi ya wasanii wa kiume Bongo wamewahi kutafunwa na madon wa kiarabu (hasa yule Babu wa Mombasa) ili wapate hela !
Hata huyu msanii naniliu nasikia yeye na rafiki yake wa zamani waliwahi kukung'utwa Sana tu ila yeye alivyopata hela akaacha
 
Mbona nasikiaga eti hata baadhi ya wasanii wa kiume Bongo wamewahi kutafunwa na madon wa kiarabu (hasa yule Babu wa Mombasa) ili wapate hela !
Hata huyu msanii naniliu nasikia yeye na rafiki yake wa zamani waliwahi kukung'utwa Sana tu ila yeye alivyopata hela akaacha
Wanaachaga kwani? Si nasikia kunaota funza, kunawasha kunataka kukung'utwa Kila siku
 
Si busara kuitikia mwito wa baadhi ya watu ambao huwajui vizuri.Unaingia kwenye jumba ambalo milango inajifunga na kujifungua kwa rimoti na kuna vichochoro mpaka kwenye vyumba vya kufanya ushenzi.Unakwenda tu bila kutaka na unashindwa kutoka.
Utachapwa tu lazima
 
Back
Top Bottom