P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

Ex wa 50 cent ambaye alizaa naye,Diddy alikuwa Sex Worker wa Diddy,alikuwa analipwa per month. 50 Cent anataka mwanaye kulipwa maisha yote na Diddy
 
Ngwegwe mkono wa nyani dah
 
Huyu Diddy nilikua namkubali sana enzi hizo.. yaani marekani kumejaa mademu wa kila aina Latinos, blacks, chinese, e.t.c na ni visu kweli kweli alishindwa kufanya nao parties mpaka afanye parties na wanaume wenzake sasa sijui hiyo party inanoga vipi bila mademu..
Kweli huo ulikua ni ushetani..
Mademu kibao..Demu gani na waina gani unamkosa USA.!
 
50cent naona kafukua makaburi ya bifu zao hasa la kuibiwa mke na Diddy, sasa anajiandaa kufungua kesi kwa X wake apate uhalali wa kumlea mtoto wake wa kiume! Hoja mama wa mtoto ni sexworker kwahiyo hafai kwa malez wa mwanae[emoji1787][emoji1787]
 
Snoop na Tupac gang wao ni west coast hasa California so ni bloods ,east coast watoto wa mjini Newyork ni hao akina Didy na magenge yao ndio crips
Hizi vita za magenge ya wahuni mitaani Marekani hasa bloods na crips Ndio zilozochochea hilo battle pia ,Maana batttle walipeleka mitaani kabisa na kuanza kuathiri maisha hata ya wasanii
 
Snoop na Tupac gang wao ni west coast hasa California so ni bloods ,east coast watoto wa mjini Newyork ni hao akina Didy na magenge yao ndio crips
Hizi vita za magenge ya wahuni mitaani Marekani hasa bloods na crips Ndio zilozochochea hilo battle pia ,Maana batttle walipeleka mitaani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…